Wewe umenunua kipande gani kwa shs ngapi?Wanakuja kushangaa namna Nchi inavyouzwa vipande vipande kwa wawekezaji uchwara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe hausifu inatosha , tuachie sie tusifuMnasifu kupita kiasi, acheni afanye kazi itaonekana tu.
wanadakwaje juu juu wakati wanapost wenyewe kwenye pages zao za social media?Hao masupestar huwa wanakuja tu miaka yote, ila safari hii wakitokea tu wanadakww juu kwa juu ili kusaka kiki za kisiasa. Hawajaja kwasababu ya roho tua, bali mnataka kujustfy ile filamu ya Roho Tua kitu ambacho si kweli.
Mastaa wanaojulikana na kila mtu hata sisi tusiojua mpira unawajua?bila shaka unawajuaNi kama ndoto ila ndo yanatokea kweli! Ndani ya miezi miwili mastaa wa mpira duniani wanaotambulika na kufahamika duniani kote wanamiminika Tanzania kwa fujo sana!
Mastaa hawa wanapiga picha kwenye mbuga zetu za Serengeti na Ngorongoro na maeneo ya Zanzibar na wanazipost kwenye pages zao kwenye mitandao ya kijamii, wanasema wako Tanzania, wanaitangaza Tanzania kwa dunia!
Tanzania tunaingiza madolali sio tu kwa hawa kuja ila kwa namna nchi yetu inavyozidi kuliteka soko la utalii la dunia
Hongera sana Rais wangu mahiri Samia Suluhu Hassan, uongozi ni maarifa, uongozi ni busara , uongozi ni kutumia exposure yako katika kukamata fursa zilizopo duniani. Tanzania sasa inaonekana, watu wanaisema Tanzania, wanaijua Tanzania.
Naiona Tanzania tukifikisha watalii Mil 5 mwaka 2025. Naiona sekta ya Utalii ikiwa kinara tena kwenye kuchangia pato la Taifa na kuingiza fedha za kigeni
Huyo ndo Samia, ninayemuita Deng Xiaoping, The father of modern China. Kwangu Samia ndo the mother of Modern Tanzania.
Angalizo
Uzi huu ni ndimu kwa wale vibaraka wa Kenya mnaotaka kuua industry yetu ya Utalii ili Tanzania ife kiuchumi. Naomba mpite tu bila ku comment
Kwa wale pingapinga fc na Burundi gang hii ndo maana halisi ya uongozi uliojaa maarifa! Sijui kama mna swali lingine kuhusu Royal Tour?
View attachment 2272689View attachment 2272693View attachment 2272694View attachment 2272694View attachment 2272696View attachment 2272698View attachment 2272736
Eti wakiwa uganda??Nlidhani ungeorodhesha hio list ya mastaa,umeishia kuchanganya pich za badhi yao wakiwa uganda, any way huo ndo upeo wako. Natamn ujue kuwa utalii huo ni biashara za watu hakuna pesa inaingia hazina hapo.
Habari ya Nairobi? Endelea tu kuteseka na kununa kama vipi nitakuongezea juice ya ndimuMastaa wanaojulikana na kila mtu hata sisi tusiojua mpira unawajua?bila shaka unawajua
High season full 🛑Ameulizasababu ya idadi yao kuja kwa wingi ndani ya muda mfupi.
hakuna high season tuliyowai kushuhudia mastaa wakimiminika kwa wingi namna hii!High season full 🛑
Na iwe hivyo, Ni jambo zuri la faida kwetu.Dunia ilifungwa ila kuanzia mwaka jana ndo imeanza kufunguka
Timing ya Royal Tour ilikuwa perfect zake maana sasa ndo watu wanaenda kupumzika na kutumia hela walizosave mwaka mzima
Take off ya Tanzania kwenye utalii kuanzia sasa itakuwa sio ya kitoto
Kweli kabisa! Vibaraka wa Kenya hawalipendi hiliNa iwe hivyo, Ni jambo zuri la faida kwetu.
Inawezekana uko sahihi maana kuna mahali nilikuwa na kuulizwa natokea wapi, wengi kweli hawaijui Tanzania zaidi ni Africa kama nchi vile ila waliojua natokea Tanzania walianza kuniita serengeti, wengine ngorongoro na Kilimanjaro lakini kwangu ilikuwa poa tuuView attachment 2272751
Abromavic Kilimanjaro hiyo Mkuu usiwe mjinga tafuta takwimu Tanzania ilishaiacha hadi Kenya kwa idadi ya watalii na kipato kitokanacho na utalii.
Nenda TANAPA HQ uliza watalii wameijuaje Tanzania.90% ni kupitia mawakala wa Utalii na si vinginevyo.
Mie niliwai kuulizwa kipindi nipo Canada kama natokea Tsmania! Watu walikuwa hawaijui Tanzania kwa kweliInawezekana uko sahihi maana kuna mahali nilikuwa na kuulizwa natokea wapi, wengi kweli hawaijui Tanzania zaidi ni Africa kama nchi vile ila waliojua natokea Tanzania walianza kuniita serengeti, wengine ngorongoro na Kilimanjaro lakini kwangu ilikuwa poa tuu
NakaziaMimi ukiniambia nimchague nani kati ya Magufuli na Samia nitamchagua Samia kwa 100%.
Mimi ni Mkristo,Mwanaume na Mtanganyika.
Sababu ni hizi,Sijaona wala kusikia uwepo wa wasiojulikana.Hakuna kupotezwa hovyo hovyo.
Ni kweli kabisa ukitaja Serengeti au ngorongoro ndio anaelewa haraka inawazisha sana dah...Mie niliwai kuulizwa kipindi nipo Canada kama natokea Tsmania! Watu walikuwa hawaijui Tanzania kwa kweli
Tanzania washakuja watu kama wote. Siasa buanaMastaa gani unawaongelea we kiazi
Una tabia za kike,majibu yanajidhihirishaKama wewe hausifu inatosha , tuachie sie tusifu
Inaonekana una uelewana uzoefu kwenye hii sektaView attachment 2272751
Abromavic Kilimanjaro hiyo Mkuu usiwe mjinga tafuta takwimu Tanzania ilishaiacha hadi Kenya kwa idadi ya watalii na kipato kitokanacho na utalii.
Nenda TANAPA HQ uliza watalii wameijuaje Tanzania.90% ni kupitia mawakala wa Utalii na si vinginevyo.