Haijapata kutokea: Ndani ya Miezi 2 mastaa ya mpira duniani wanafurika Tanzania. Hongera Samia wewe ndo Deng Xiaoping wangu

Sawa walikuwa wanakuja

Umewahi ona wamekuja wote hao ndani ya kipindi cha miezi miwili? Waliwahi post wako Tanzania?

Waliwahi post wakiwa mbuga za Tanzania au hata Zanzibar kwenye Beach zetu?

Kwa nini isiwe influence ya Royal Tour ndo inawafanya wafanye ivo?
Nasema hivi labda hujui utalii,wala haujawahi kujihusisha na Utalii.
Sawa walikuwa wanakuja

Umewahi ona wamekuja wote hao ndani ya kipindi cha miezi miwili? Waliwahi post wako Tanzania?

Waliwahi post wakiwa mbuga za Tanzania au hata Zanzibar kwenye Beach zetu?

Kwa nini isiwe influence ya Royal Tour ndo inawafanya wafanye ivo?
1656237101737.jpeg


Hapa yuko Serengeti Grumeti Reserve
 
Ni kama ndoto ila ndo yanatokea kweli! Ndani ya miezi miwili mastaa wa mpira duniani wanaotambulika na kufahamika duniani kote wanamiminika Tanzania kwa fujo sana!

Mastaa hawa wanapiga picha kwenye mbuga zetu za Serengeti na Ngorongoro na maeneo ya Zanzibar na wanazipost kwenye pages zao kwenye mitandao ya kijamii, wanasema wako Tanzania, wanaitangaza Tanzania kwa dunia!

Tanzania tunaingiza madolali sio tu kwa hawa kuja ila kwa namna nchi yetu inavyozidi kuliteka soko la utalii la dunia

Hongera sana Rais wangu mahiri Samia Suluhu Hassan, uongozi ni maarifa, uongozi ni busara , uongozi ni kutumia exposure yako katika kukamata fursa zilizopo duniani. Tanzania sasa inaonekana, watu wanaisema Tanzania, wanaijua Tanzania.

Naiona Tanzania tukifikisha watalii Mil 5 mwaka 2025. Naiona sekta ya Utalii ikiwa kinara tena kwenye kuchangia pato la Taifa na kuingiza fedha za kigeni

Huyo ndo Samia, ninayemuita Deng Xiaoping, The father of modern China. Kwangu Samia ndo the mother of Modern Tanzania.

Angalizo
Uzi huu ni ndimu kwa wale vibaraka wa Kenya mnaotaka kuua industry yetu ya Utalii ili Tanzania ife kiuchumi. Naomba mpite tu bila ku comment

Kwa wale pingapinga fc na Burundi gang hii ndo maana halisi ya uongozi uliojaa maarifa! Sijui kama mna swali lingine kuhusu Royal Tour?
View attachment 2272689View attachment 2272693View attachment 2272694View attachment 2272694View attachment 2272696View attachment 2272698View attachment 2272736
Unaweza thibitisha hii inahusiana vipi na ile filamu ya samia?
 
Sawa walikuwa wanakuja

Umewahi ona wamekuja wote hao ndani ya kipindi cha miezi miwili? Waliwahi post wako Tanzania?

Waliwahi post wakiwa mbuga za Tanzania au hata Zanzibar kwenye Beach zetu?

Kwa nini isiwe influence ya Royal Tour ndo inawafanya wafanye ivo?
1656237601280.jpeg


Abromavic Kilimanjaro hiyo Mkuu usiwe mjinga tafuta takwimu Tanzania ilishaiacha hadi Kenya kwa idadi ya watalii na kipato kitokanacho na utalii.

Nenda TANAPA HQ uliza watalii wameijuaje Tanzania.90% ni kupitia mawakala wa Utalii na si vinginevyo.
 
Sawa walikuwa wanakuja

Umewahi ona wamekuja wote hao ndani ya kipindi cha miezi miwili? Waliwahi post wako Tanzania?

Waliwahi post wakiwa mbuga za Tanzania au hata Zanzibar kwenye Beach zetu?

Kwa nini isiwe influence ya Royal Tour ndo inawafanya wafanye ivo?
1656237867004.jpeg

Obama Sasakwa Serengeti.
 
Unaweza thibitisha hii inahusiana vipi na ile filamu ya samia?
Filamu imefanya Tanzania ijulikane zaidi hivyo kuvutia mastaa wengi zaidi kuja Tanzania

Kikubwa zaidi baada ya filamu kuitangaza Tanzania na kuwa imetoka mwaka huu huu, hawa mastaa kuonyesha wako up to date wanaitangazia dunia kuwa nao wapo Tanzania. Ni mambo yanayofanyika kwenye dunia ya kisasa ila kama unatokea Burundi huwezi kuelewa
 
Binafsi naamini impact ya Royal tour kwa watalii kufika haiwezi kuwa na muda mfupi hivi labda next season.

Hawa wanaokuja sasa nadhani wengi ilikuwa waje wakati wa covid wakafeli na sasa wamejikuta wamekuja kwa pamoja....

RT inaweza ikaboost market ndani ya muda mfupi kwa mfumo wa kuwakumbusha waliowahi kufika kuwapasha habari wengine kuwa waliwahi kuwepo eneo hilo linaloonekana kwenye movie.

Mfano kama mtu uone movie imeektiwa New york kwenye jengo ambalo wewe ulishafika na kulala, lazima utasema kwa wengine kuwa "I WAS THERE", Ila kwa idadi ya watalii nchini, kuanzia next season RT inaweza kupimwa kwa kulinganisha idadi.

Hatahivyo ile movie ipo tu haina expire date, ni marketing machine ya muda mrefu sana. Tunachotakiwa kufanya watanzania ni kuiboost kwenye social media.
 
Filamu imefanya Tanzania ijulikane zaidi hivyo kuvutia mastaa wengi zaidi kuja Tanzania

Kikubwa zaidi baada ya filamu kuitangaza Tanzania na kuwa imetoka mwaka huu huu, hawa mastaa kuonyesha wako up to date wanaitangazia dunia kuwa nao wapo Tanzania. Ni mambo yanayofanyika kwenye dunia ya kisasa ila kama unatokea Burundi huwezi kuelewa
1656238202396.jpeg


Zilitua ndege 7 za Israel uwanja wa KIA mwaka 2018 sijui waliangalia hiyo Royal tour.

Kuanzia security yote ya KIA ilikuwa chini ya waIsrael.Ndege moja ilikuwa na abiria 170 X 7.

Msafara wao ulikuwa ukisindikizwa na jeshi la polisi.Tuache siasa za kitoto Utalii Tanzania upo juu hata kabla ya ujio wa Royal tour
 
View attachment 2272776

Zilitua ndege 7 za Israel uwanja wa KIA mwaka 2018 sijui waliangalia hiyo Royal tour.

Kuanzia security yote ya KIA ilikuwa chini ya waIsrael.Ndege moja ilikuwa na abiria 170 X 7.

Msafara wao ulikuwa ukisindikizwa na jeshi la polisi.Tuache siasa za kitoto Utalii Tanzania upo juu hata kabla ya ujio wa Royal tour
Hata mwaka huu ndege zimeshuka kutoka Israel na hata ndege za mashirika makubwa ambayo yamerudisha safari zake Tanzania

au hujui hilo?
 
Binafsi naamini impact ya Royal tour kwa watalii kufika haiwezi kuwa na muda mfupi hivi labda next season.

Hawa wanaokuja sasa nadhani wengi ilikuwa waje wakati wa covid wakafeli na sasa wamejikuta wamekuja kwa pamoja....

RT inaweza ikaboost market ndani ya muda mfupi kwa mfumo wa kuwakumbusha waliowahi kufika kuwapasha habari wengine kuwa waliwahi kuwepo eneo hilo linaloonekana kwenye movie.

Mfano kama mtu uone movie imeektiwa New york kwenye jengo ambalo wewe ulishafika na kulala, lazima utasema kwa wengine kuwa "I WAS THERE", Ila kwa idadi ya watalii nchini, kuanzia next season RT inaweza kupimwa kwa kulinganisha idadi.

Hatahivyo ile movie ipo tu haina expire date, ni marketing machine ya muda mrefu sana. Tunachotakiwa kufanya watanzania ni kuiboost kwenye social media.
Dunia ilifungwa ila kuanzia mwaka jana ndo imeanza kufunguka

Timing ya Royal Tour ilikuwa perfect zake maana sasa ndo watu wanaenda kupumzika na kutumia hela walizosave mwaka mzima

Take off ya Tanzania kwenye utalii kuanzia sasa itakuwa sio ya kitoto
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom