Haijapata kutokea: Ndani ya Miezi 2 mastaa ya mpira duniani wanafurika Tanzania. Hongera Samia wewe ndo Deng Xiaoping wangu

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,148
25,814
Ni kama ndoto ila ndo yanatokea kweli! Ndani ya miezi miwili mastaa wa mpira duniani wanaotambulika na kufahamika duniani kote wanamiminika Tanzania kwa fujo sana!

Mastaa hawa wanapiga picha kwenye mbuga zetu za Serengeti na Ngorongoro na maeneo ya Zanzibar na wanazipost kwenye pages zao kwenye mitandao ya kijamii, wanasema wako Tanzania, wanaitangaza Tanzania kwa dunia!

Tanzania tunaingiza madolali sio tu kwa hawa kuja ila kwa namna nchi yetu inavyozidi kuliteka soko la utalii la dunia

Hongera sana Rais wangu mahiri Samia Suluhu Hassan, uongozi ni maarifa, uongozi ni busara , uongozi ni kutumia exposure yako katika kukamata fursa zilizopo duniani. Tanzania sasa inaonekana, watu wanaisema Tanzania, wanaijua Tanzania.

Naiona Tanzania tukifikisha watalii Mil 5 mwaka 2025. Naiona sekta ya Utalii ikiwa kinara tena kwenye kuchangia pato la Taifa na kuingiza fedha za kigeni

Huyo ndo Samia, ninayemuita Deng Xiaoping, The father of modern China. Kwangu Samia ndo" THE MOTHER OF MODERN TANZANIA"

Angalizo
Uzi huu ni ndimu kwa wale vibaraka wa Kenya mnaotaka kuua industry yetu ya Utalii ili Tanzania ife kiuchumi. Naomba mpite tu bila ku comment

Kwa wale pingapinga fc na Burundi gang hii ndo maana halisi ya uongozi uliojaa maarifa! Sijui kama mna swali lingine kuhusu Royal Tour?
Screenshot_20220626-114843_Twitter.jpg
20220626_114614.jpg
20220626_114606.jpg
20220626_114606.jpg
20220626_114611.jpg
20220626_114609.jpg
Screenshot_20220626-124231_Twitter.jpg
 
Ni kama ndoto ila ndo yanatokea kweli! Ndani ya miezi miwili mastaa wa mpira duniani wanaotambulika na kufahamika duniani kote wanamiminika Tanzania kwa fujo sana!

Mastaa hawa wanapiga pichq kwenye mbuga zetu za Serengeti na Ngorongoro na maeneo ya Zanzibar na wanazipost kwenye pages zao kwenye mitandao ya kijamii, wanasema wako Tanzania, wanaitangaza Tanzania kwa dunia!

Tanzania tunaingiza madolali sio tu kwa hawa kuja ila kwa namna nchi yetu inavyozidi kuliteka soko la utalii la dunia

Hongera sana Rais wangu mahiri Samia Suluhu Hassan, uongozi ni maarifa, uongozi ni busara , uongozi ni kutumia exposure yako katika kukamata fursa zilizopo duniani. Tanzania sasa inaonekana, watu wanaisema Tanzania, wanaijua Tanzania.

Naiona Tanzania tukifikisha watalii Mil 5 mwaka 2025. Naiona sekta ya Utalii ikiwa kinara tena kwenye kuchangia pato la Taifa na kuingiza fedha za kigeni

Huyo ndo Samia, ninayemuita Deng Xiaoping, The father of modern China. Kwangu Samia ndo the mother of Modern Tanzania.

Angalizo
Uzi huu ni ndimu kwa wale vibaraka wa Kenya mnaotaka kuua industry yetu ya Utalii ili Tanzania ife kiuchumi. Naomba mpite tu bila ku comment

Kwa wale pingapinga fc na Burundi gang hii ndo maana halisi ya uongozi uliojaa maarifa! Sijui kama mna swali lingine kuhusu Royal Tour?
View attachment 2272689View attachment 2272693View attachment 2272694View attachment 2272694View attachment 2272696View attachment 2272698
Umewasahau sahau Hawa hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220622-215318.png
    Screenshot_20220622-215318.png
    80.2 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220621-162230.png
    Screenshot_20220621-162230.png
    165.6 KB · Views: 8
Nadhani sijui niseme ni ushamba au upotoshaji wa maksudi.

Miaka yote Kanda ya kaskazini miezi hii ndio high season.

Wamekuja kina Abromovic,Beckham,Bill Gate,Oboma & ......... bila hiyo royal tour.

Kabla ya ujio wa Covid 19 KIA zilikuwa zinashuka ndege 17 za mashirika mbali mbali ya kimataifa eg Turkish,Ethiopia,Quatar,Rwanda,Kenya, KLM .......... Israel wamewahi kuleta ndege 6 kwa mara moja na nk.

Royal tour haina lolote na ujio wa watalii Tanganyika.
 
Nadhani sijui niseme ni ushamba au upotishaji wa maksudi.

Miaka yote Kanda ya kaskazini miezi hii ndio high season.

Wamekuja kina Abromovic,Beckham,Bill Gate,Oboma & ......... bila hiyo royal tour.

Kabla ya ujio wa Covid 19 KIA zilikuwa zinashuka ndege 17 za mashirika mbali mbali ya kimataifa eg Turkish,Ethiopia,Quatar,Rwanda,Kenya, KLM .......... Israel wamewahi kuleta ndege 6 kwa mara moja na nk.

Royal tour haina lolote na ujio wa watalii Tanganyika.
Sawa walikuwa wanakuja

Umewahi ona wamekuja wote hao ndani ya kipindi cha miezi miwili? Waliwahi post wako Tanzania?

Waliwahi post wakiwa mbuga za Tanzania au hata Zanzibar kwenye Beach zetu?

Kwa nini isiwe influence ya Royal Tour ndo inawafanya wafanye ivo?
 
Nadhani sijui niseme ni ushamba au upotishaji wa maksudi.

Miaka yote Kanda ya kaskazini miezi hii ndio high season.

Wamekuja kina Abromovic,Beckham,Bill Gate,Oboma & ......... bila hiyo royal tour.

Kabla ya ujio wa Covid 19 KIA zilikuwa zinashuka ndege 17 za mashirika mbali mbali ya kimataifa eg Turkish,Ethiopia,Quatar,Rwanda,Kenya, KLM .......... Israel wamewahi kuleta ndege 6 kwa mara moja na nk.

Royal tour haina lolote na ujio wa watalii Tanganyika.
Una roho mbaya😁
 
Hao masupestar huwa wanakuja tu miaka yote, ila safari hii wakitokea tu wanadakww juu kwa juu ili kusaka kiki za kisiasa. Hawajaja kwasababu ya roho tua, bali mnataka kujustfy ile filamu ya Roho Tua kitu ambacho si kweli.
umeshawai ona wakija kwa wingi huu ndani ya muda mfupi kama sasa?
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom