Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,932
- 31,178
Huu upotoshaji umekuwa kero sana.
Mfano, Unguja high season ndiyo ipo mbioni na hii ni kwa miaka yote na huko kaskazini ndiyo msimu huu not otherwise ila kuna watu humu wanatumia vibaya tour season kuimplement na ile sinema how!.
Yaani unabaki kushangaa kama si kusikitika.Hii maana yake tunadanganywa mambo mengi sana.