ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,053
GSM ilikuwa kampuni ambayo watu wengi atuijui zaidi ya mo. Na Azam lakini kwa sasa GSM imeshika kasi kubwa kwenye kujitangaza wangekuwa sasa na washauri wazuri ndio kipindi Chao sasa kuingia kwenye ushindani wa biashara za vyakula mfano ngano na biashara zingine naamini wala awahitaji nguvu kubwa kuitangaza bidhaa zao maana kwasasa tayali wamekamata anga la watanzania lakini shida awana bidhaa ambayo inawafikia watu moja kwa moja
Kwako Eng Hersi kazi kwako
Kwako Eng Hersi kazi kwako