Gen Z Mnakimbiza sana Magari!

Gen Z Mnakimbiza sana Magari!

Sio halisi hiyo picha ni ya ku edit. Hapa Bongo hkuna barabara ya kufikisha speed hiyo kabla hujakutana na kikwazo chochote kama tuta, kona, watumiaji wengine wa barabara n.k
Hio picha yako ni edited. Lakini wapo vijana wanaendesha gari mpaka 300kph hapa hapa Tz. Kwani wewe unafikiri inachukua sekunde ngapi BMW M3 au Golf 7/8 R au Audi S3 kufika 250 au 300kph? Zipo video sitaki kuziweka hapa zitawa expose wenyewe.
 
We are on the last generation on self destruct mode. Vijana wako resi sana kila sekta. Hawatishwi. Hawaterereki. Hawashindwi.

Boss ukizingua tunakuachia ofisia hata kama tulianza kazi last week.

Baby ukizingua unakula block immediately.

Mzazi ukizengua tunaua undugu no toxic people please 🤣

Hata wateja tunachambwa na hawa wafanyabiashaa kwenye page zao.

Ulevi. Ngono zembe. Reckless driving. Bad mouths. Tiktok Challenges.

Ni kifo tu ndio itawatenganisha na ndoto zao na uhuru wao 🤣

 
Siku hizi nikiwa naenda kazini najikuta mpk natembea 40km/h na ninajisahau kwa umbali mrefu tu na Niko comfortable.Miaka kadhaa nyuma nisingeweza.Ilikua ni mwendo wa mwendo wa ngiri mkia juu.Nahisi age Ina mahusiano na speed
Ongeza kidogo mkuu. Nyie wa 40kph ndio mnaleta foleni mjini 😀😀😀
 
Pamoja na kuwa una hoja ILA
magari yanayo fika 300km ni machache sana Tanzania
Lakini pia TANZANIA hatuna barabara ya kutembea kms 300 Barabara zetu nyingi ndani ya klm 2-5 unakuta kona hiyo mia tatu utatembelea wapi?; Kwa wenzetu kuna barabara unaenda umbali wa takribani km 60 ndio ukute cona-Hizo ndio wanatembea hizo klms
Zipo chuma zinawahi kuchanganya ndani ya 1 Km upo 100+ na pia sehemu nchin zinaruhusu kutembea . swali linabaki je una roho ya plastic?
 
Hello petrol heads!
Gen Z mnakimbiza sana magari. Mnahatarisha maisha yenu na maisha ya watumiaji wengine wa barabara. Hata sisi tulipokuwa vijana tulikuwa tunakimbia kiasi ila nyie mmezidi. Mbaya zaidi mmejifunza magari vichochorlni hamfuati wala kujua sheria na tahadhari za barabarani.
Imagine vijana wanakimbiaza magari mpaka 300kph tena wanafukuzana. Vijana mwendo huo kosa dogo tu utawaacha wapendwa wako na majonzi. Sijaweka video zao kwasababu ya privacy issues.
Kuona wamerudia zitundike video zenyewe humu.
 
Back
Top Bottom