HIvi bado uko makanisani mnadanganywa kuhusu hili?

HIvi bado uko makanisani mnadanganywa kuhusu hili?

Status
Not open for further replies.

Kubwa la Maadui

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
8,032
Reaction score
15,898
Mnara ulianguka kwa sababu ulikuwa umejengwa vibaya. Kituo cha Anga hakijanguki kwa sababu hakikujengwa vibaya.

1787469218521.png
 
Shetani umekuja tena, chupa mpya mvunyo wa zamani, hivi hunaga mbinu mpya ewe ibilisi zaidi ya hiyo ya ku twist maneno ya Mungu? ?


Mungu alisema mzae muijaze dunia.

Watu wa babeli wakasema tusitawanyike duniani tukae wote hapa.

Kwanini mnaenda kinyume na maagizo ya Bwana?

Mnajua mantiki Mungu ku delay Globalization?

Hamuoni baada ya globalisation finally kizazi cha mwisho kimefika?

Wangeachwa wale wangekufa wote in a few generations! YESU asingeweza kuja na tunaotaka kuishi milele na MUNGU tusingepata hiyo nafasi.

Na Mungu alikuwa anatusaidia watoto wake ku collect ma evidence. Yani ali shift gears ili sisi huku tupate data. Si unajua ni ushahidi wa watu wawili watatu ndio unathaminiwa? Kwa kifupi Bwana alicheza kama Pele ukiwa kiazi unapitwa!

"Ndipo wakasema, “Njooni, tujijengee mji wenye mnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie jina, tusije tukatawanyika duniani kote."
Mwanzo.11.4.NENO2025

"Bwana akasema, “Ikiwa kama taifa moja wanaozungumza lugha moja wameanza kufanya hili, basi hakuna lolote watakalopanga kufanya ambalo halitawezekana kwao.

Njooni, tushuke tuvuruge lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.""

Mwanzo.11.6-7.NENO2025
 
Shetani umekuja tena, chupa mpya mvunyo wa zamani, hivi hunaga mbinu mpya ewe ibilisi zaidi ya hiyo ya ku twist maneno ya Mungu? ?


Mungu alisema mzae muijaze dunia.

Watu wa babeli wakasema tusitawanyike duniani tukae wote hapa.

Kwanini mnaena kinyume na maagizo ya Bwana? Mnajua mantiki Mungu ku delay Globalization?

Hamuoni baada ya globalisation finally kizazi cha mwisho kimefika?

Wangeachwa wale wangekufa wote in a few generations! YESU asingeweza kuja na tunaotaka kuishi milele na MUNGU tusingepata hiyo nafasi.

Na Mungu alikuwa anatusaidia watoto wake ku collect ma evidence. Yani ali shift gears ili sisi huku tupate data. Si unajua ni ushahidi wa watu wawili watatu ndio unathaminiwa? Kwa kifupi Bwana alicheza kama Pele ukiwa kiazi unapitwa!

"Ndipo wakasema, “Njooni, tujijengee mji wenye mnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie jina, tusije tukatawanyika duniani kote."
Mwanzo.11.4.NENO2025

"Bwana akasema, “Ikiwa kama taifa moja wanaozungumza lugha moja wameanza kufanya hili, basi hakuna lolote watakalopanga kufanya ambalo halitawezekana kwao.

Njooni, tushuke tuvuruge lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.""

Mwanzo.11.6-7.NENO2025
Na nikisema kizazi cha mwisho namaanisha kizazi kilicho on self-destruct mode.
 
Vitu vingine kwenye biblia ni vya kupotezea tu usivizingatie sana. Kwa mfano stori ya Ayubu ukisoma utajiuliza mengi sana.
 
Nitaificha sura yangu wapi Mimi Mzee wa kanisa moja kilokole hapa nchimi.
 
Kizazi hiki hakitapita hata hayo yote yatimie. ni maneno ya YESU hicho kizazi ni kipi mkuu!
YESU alisema:

"Vivyo hivyo, mnapoyaona mambo haya yote, mtambue kwamba wakati u karibu, hata malangoni.

Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia."

Mathayo.24.33-34.NENO2025


Mnapoyaona mambo haya yote!

Niambie ni wakati gani kwenye historia waliona mambo haya yote aliyoyataja?

Ni wakati gani Injili ilihubiriwa duniani kote?
Ni wakati gani wafuasi wa Yesu walichukiwa na mataifa yote?
Ni wakati gani kulikuwa na manabii wengi wa uongo?
Ni wakati gani tuliona matetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali at once?
Ni wakati gani uovu uliongezeka na upendo wa wengi kupoa?

Israeli imefananishwa na mtini kwenye Biblia. Na YESU akasema "matawi yake yanapoanza kuchipua na kutoa majani, mnatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia."

Tangu taifa la Israeli lirudi mwaka 1948 (kwa wakati ambao ulitabiriwa na Kitabu cha Enoko), naona maneno ya YESU yanatimia kuwa kizazi hiki hakitapita, kitamuona YESU akirudi.
 
Kitabu cha enock chapter gan mkuu
YESU alisema:

[COLOR=rgb(41 105, 176)]"Vivyo hivyo, mnapoyaona mambo haya yote, mtambue kwamba wakati u karibu, hata malangoni.

Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia."[/COLOR]
Mathayo.24.33-34.NENO2025


Mnapoyaona mambo haya yote!

Niambie ni wakati gani kwenye historia waliona mambo haya yote aliyoyataja?

Ni wakati gani Injili ilihubiriwa duniani kote?
Ni wakati gani wafuasi wa Yesu walichukiwa na mataifa yote?
Ni wakati gani kulikuwa na manabii wengi wa uongo?
Ni wakati gani tuliona matetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali at once?
Ni wakati gani uovu uliongezeka na upendo wa wengi kupoa?

Israeli imefananishwa na mtini kwenye Biblia. Na YESU akasema "matawi yake yanapoanza kuchipua na kutoa majani, mnatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia."

Tangu taifa la Israeli lirudi mwaka 1948 (kwa wakati
 
Shetani umekuja tena, chupa mpya mvunyo wa zamani, hivi hunaga mbinu mpya ewe ibilisi zaidi ya hiyo ya ku twist maneno ya Mungu? ?


Mungu alisema mzae muijaze dunia.

Watu wa babeli wakasema tusitawanyike duniani tukae wote hapa.

Kwanini mnaenda kinyume na maagizo ya Bwana?

Mnajua mantiki Mungu ku delay Globalization?

Hamuoni baada ya globalisation finally kizazi cha mwisho kimefika?

Wangeachwa wale wangekufa wote in a few generations! YESU asingeweza kuja na tunaotaka kuishi milele na MUNGU tusingepata hiyo nafasi.

Na Mungu alikuwa anatusaidia watoto wake ku collect ma evidence. Yani ali shift gears ili sisi huku tupate data. Si unajua ni ushahidi wa watu wawili watatu ndio unathaminiwa? Kwa kifupi Bwana alicheza kama Pele ukiwa kiazi unapitwa!

"Ndipo wakasema, “Njooni, tujijengee mji wenye mnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie jina, tusije tukatawanyika duniani kote."
Mwanzo.11.4.NENO2025

"Bwana akasema, “Ikiwa kama taifa moja wanaozungumza lugha moja wameanza kufanya hili, basi hakuna lolote watakalopanga kufanya ambalo halitawezekana kwao.

Njooni, tushuke tuvuruge lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.""

Mwanzo.11.6-7.NENO2025
Ukinijibu hapa kesho nakuja kanisani
 

Attachments

  • 1787410899140.jpg
    1787410899140.jpg
    99.9 KB · Views: 3
  • 1787410849784.jpg
    1787410849784.jpg
    135.9 KB · Views: 3
interresting, Johanes Kepler alikuwa devouted Christian, halafu low iq anayeshi leo anakuja kukejeli Christianity wakati laws of physics anazozitumia kukejelia na zinazotumiwa leo hii kwenda space zilikuwa devoloped na formulated na Christians.

J.kepler, G.Gallileo, Isaac Newton wote walikuwa devout Christians halafu leo hii nije kumsikliza low iq gen z aliyevimbiwa ambaye hata hawezi kuelezea keplers au newtons laws? ..
 
interresting. Johanes kepler alikuwa devouted Christian, halfu low iq anayeshi leo anakuja kukejeli Christianity wakati lawas of physics zinazotumiwa leo hii kwenda space zilikuwa formulated na Christians, J.kepler, Isaac Newton wote walikuwa devout Christians ...
Mambo yenye kuleta mabadiliko kwa maisha duniani ni mipango ya Mungu katika kuwatumia watu,nachoamini huko mbeleni itafikia mda there will be No death and No Reproduction forever,think deep &wide
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom