and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,219
- 39,701
Isanga family hivi hawa Gen Z wanakimbiza mikweche kwa barabara zipi?Kuna vita Team Crown vs Germany cars
Isanga family hivi hawa Gen Z wanakimbiza mikweche kwa barabara zipi?Kuna vita Team Crown vs Germany cars
Just YOLO’ing ’cause of peer pressure ’n dead laws, all for attention. Wanapukutishwa kweli, halafu majonzi yanabaki kwa familia wanazoacha nyuma.Hello petrol heads!
Gen Z mnakimbiza sana magari. Mnahatarisha maisha yenu na maisha ya watumiaji wengine wa barabara. Hata sisi tulipokuwa vijana tulikuwa tunakimbia kiasi ila nyie mmezidi. Mbaya zaidi mmejifunza magari vichochorlni hamfuati wala kujua sheria na tahadhari za barabarani.
Imagine vijana wanakimbiaza magari mpaka 300kph tena wanafukuzana. Vijana mwendo huo kosa dogo tu utawaacha wapendwa wako na majonzi. Sijaweka video zao kwasababu ya privacy issues.
Hizi hizi zenye vibao vya 50kphIsanga family hivi hawa Gen Z wanakimbiza mikweche kwa barabara zipi?
Faini ni Tsh 30,000 au huko wana sheria tofauti na hizi za bara..Ukija zenji saivi All towm Area ni 50kph ukizidisha tu camera zinafanya yake unarushiwa message directly ukalipe 233000 in 14 days
Gen z wanakimbiza gari mjini tu ila ukiwa nao masafa wanasota balaa tunaponyata mjini tusisababishe ajali za kijinga wao muda wote wana haraka..Isanga family hivi hawa Gen Z wanakimbiza mikweche kwa barabara zipi?
Mkuu huko highway wanakimbia sana. Vijana wanaendesha hadi 300kph na gari za Mjerumani. Nakumbuka zamani kuna kijana alijipost anaendesha Mark X 180kph ilionekana ni ajabu sana wakati sasa hivi ndio kawaida ya vijana wanaoendesha Toyota CrownGen z wanakimbiza gari mjini tu ila ukiwa nao masafa wanasota balaa tunaponyata mjini tusisababishe ajali za kijinga wao muda wote wana haraka..
Sehemu za muingiliano wa bara bara mbili ajali kitu cha kawaida tu hata wakiwa speed ndogo wanaamini wakiwa bara bara kubwa hawatakiwi kusubiri ni kama madereva boda boda tu nao..
Sasa Zanzibar kwa udogo wake kama Wilaya mbili za Tanganyika unakimbia uende wapi?Ukija zenji saivi All towm Area ni 50kph ukizidisha tu camera zinafanya yake unarushiwa message directly ukalipe 233000 in 14 days
Ila hawasikii kabisa. Imagine mtu anatoa 180kph limit ya Toyota anaifungua ifikishe 260kph.
iyo speed na bado mtu anavuta simu anapiga picha nzuriKama unazungumzia video hii Mkuu. Hapa kuna editing imefanyika, hatuna barabara ambayo utafika 300kph kwa rpms elfu 4 mkuu.
Mimi ni 50yrs minus 2 naendesha subaru forester xt. Nikiwa barabarani napata shida sana na vijana wa crown, subaru na harrier wote wanajuaga nipo kwenye ligi zao naishia kuchomekewa unnecessarily wakidhan nipo kwenye ligi zaoUnaweza kukuta wamepost wanakupita utafikiri ulikubaliana nao kwamba mnashindana.
Watu wazima wanaoendesha Crown na Subaru wanachukuliwa vibaya. Kiuhalisia Crown ni gari ya watu wazima mpaka wazee sio vijana ila Tz gari yoyote anaendesha mtu yeyote.Mimi ni 50yrs minus 2 naendesha subaru forester xt. Nikiwa barabarani napata shida sana na vijana wa crown, subaru na harrier wote wanajuaga nipo kwenye ligi zao naishia kuchomekewa unnecessarily wakidhan nipo kwenye ligi zao
Kuna sticker unakuta imebamdikwa kwenye gari kwa nyuma imeandikwa 'OVERTAKE ME,WE RACE' Hii ndio mentality ya vijana.kuna jambo huwa linanishangaza nikiwa road, unaikuta gari kwenye mwendo wa kawaida ukimwashia indicator ku overtake ni kama umemwomba ligi. Hata kama anaendesha chuma cha 650cc ni vurugu tu. Vijana wanakimbiza bila tahadhari barabara zimejaa mashimo
iyo speed na bado mtu anavuta simu anapiga picha nzuri