Gen Z Mnakimbiza sana Magari!

Gen Z Mnakimbiza sana Magari!

RRONDO

Platinum Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
59,487
Reaction score
135,430
Hello petrol heads!
Gen Z mnakimbiza sana magari. Mnahatarisha maisha yenu na maisha ya watumiaji wengine wa barabara. Hata sisi tulipokuwa vijana tulikuwa tunakimbia kiasi ila nyie mmezidi. Mbaya zaidi mmejifunza magari vichochorlni hamfuati wala kujua sheria na tahadhari za barabarani.
Imagine vijana wanakimbiaza magari mpaka 300kph tena wanafukuzana. Vijana mwendo huo kosa dogo tu utawaacha wapendwa wako na majonzi. Sijaweka video zao kwasababu ya privacy issues.
 
Hello petrol heads!
Gen Z mnakimbiza sana magari. Mnahatarisha maisha yenu na maisha ya watumiaji wengine wa barabara. Hata sisi tulipokuwa vijana tulikuwa tunakimbia kiasi ila nyie mmezidi. Mbaya zaidi mmejifunza magari vichochorlni hamfuati wala kujua sheria na tahadhari za barabarani.
Imagine vijana wanakimbiaza magari mpaka 300kph tena wanafukuzana. Vijana mwendo huo kosa dogo tu utawaacha wapendwa wako na majonzi. Sijaweka video zao kwasababu ya privacy issues.
Sensation seeking.
 
Hello petrol heads!
Gen Z mnakimbiza sana magari. Mnahatarisha maisha yenu na maisha ya watumiaji wengine wa barabara. Hata sisi tulipokuwa vijana tulikuwa tunakimbia kiasi ila nyie mmezidi. Mbaya zaidi mmejifunza magari vichochorlni hamfuati wala kujua sheria na tahadhari za barabarani.
Imagine vijana wanakimbiaza magari mpaka 300kph tena wanafukuzana. Vijana mwendo huo kosa dogo tu utawaacha wapendwa wako na majonzi. Sijaweka video zao kwasababu ya privacy issues.
Wana run na mandinga za babao, kushiba kwa mamao……

Hayo magari wanachezea sidhani kama wamenunua kwa pesa zao 😁
 
Hello petrol heads!
Gen Z mnakimbiza sana magari. Mnahatarisha maisha yenu na maisha ya watumiaji wengine wa barabara. Hata sisi tulipokuwa vijana tulikuwa tunakimbia kiasi ila nyie mmezidi. Mbaya zaidi mmejifunza magari vichochorlni hamfuati wala kujua sheria na tahadhari za barabarani.
Imagine vijana wanakimbiaza magari mpaka 300kph tena wanafukuzana. Vijana mwendo huo kosa dogo tu utawaacha wapendwa wako na majonzi. Sijaweka video zao kwasababu ya privacy issues.
Nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa na Team Teza kiongozi wao alikuwa Mtangazaji wa EATV Tbway360(Alijita hilo jina kwasababu ya kuChora mzunguko(drifting)) ,nakumbuka alikula bonge la BUYU makumbusho TEZA yake ikawa valuvalu ,vijana wengi walikula MABUYU sana na TEZA ila kwasasa wameshajifunza baada ya members wao wengi kufariki.
 
Pamoja na kuwa una hoja ILA
magari yanayo fika 300km ni machache sana Tanzania
Lakini pia TANZANIA hatuna barabara ya kutembea kms 300 Barabara zetu nyingi ndani ya klm 2-5 unakuta kona, hiyo kms mia tatu utatembelea wapi?
Kwa wenzetu huko kuna barabara unaenda umbali wa takribani km 50-80 (express highway) ndio ukute Kona-hizo ndio wanatembea hizo kms
 
Nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa na Team Teza kiongozi wao alikuwa Mtangazaji wa EATV Tbway360(Alijita hilo jina kwasababu ya kuChora mzunguko(drifting)) ,nakumbuka alikula bonge la BUYU makumbusho TEZA yake ikawa valuvalu ,vijana wengi walikula MABUYU sana na TEZA ila kwasasa wameshajifunza baada ya members wao wengi kufariki.
Hawa wa sasa wanakimbia sana. Kuna vijana wanaongozana wana BMW M3, Golf R na Audi hawa msafara unakimbia 250-300kph
 
Hello petrol heads!
Gen Z mnakimbiza sana magari. Mnahatarisha maisha yenu na maisha ya watumiaji wengine wa barabara. Hata sisi tulipokuwa vijana tulikuwa tunakimbia kiasi ila nyie mmezidi. Mbaya zaidi mmejifunza magari vichochorlni hamfuati wala kujua sheria na tahadhari za barabarani.
Imagine vijana wanakimbiaza magari mpaka 300kph tena wanafukuzana. Vijana mwendo huo kosa dogo tu utawaacha wapendwa wako na majonzi. Sijaweka video zao kwasababu ya privacy issues.
Kuna dogo Mkenya yuko hospitali Baltimore Maryland , US, mwezi mmoja huu sasa, kimsingi yupo katika coma.

Kajiweka kwenye risk ya kifo kirahisi sana.

Kwa mchezo huu huu wa kukimbizana magari. Na hospitali za US zilivyo expensive nafikiri bill yao itafikia over a million dollars karibuni.

Whatever happenned to going to the gym and competing pumping iron?
 
Kuna dogo Mkenya yuko hospitali Baltimore Maryland , US, mwezi mmoja huu sasa, kimsingi yupo katika coma.

Kajiweka kwenye risk ya kico kirahisi sana.

Kwa mchezo huu huu wa kukimbizana magari. Na hospitali za US zilivyo expensive nafikiri bill yao itafikia over a million dollars karibuni.
Kuna jamaa namfahamu yuko kwenye wheel chair sasa hivi alipinduka na gari. Hatari sana.
 
Back
Top Bottom