Gairo: DC amtuhumu mwenyekiti wa CCM kuhongwa gari na mbunge Shabiby, mwenyewe akana asema amenunuliwa na Dkt. Mwigulu. Kesi iko Takukuru

Mkuu wa wilaya ya Gairo amemtuhumu mwenyekiti wa CCM wa wilaya kwamba amehongwa gari na mbunge Ahmed Shabiby ili wambebe kwenye uchaguzi. Mkuu wa wilaya amewataka Takukuru wamshughulikie mwenyekiti huyo.

Naye mwenyekiti wa CCM amesema gari hilo hajahongwa na Shabiby kama inavyodaiwa bali amenunuliwa na waziri wa Katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba. Mwenyekiti amesema yeye pia ni msaidizi wa Dkt. Mwigulu jimboni Iramba akisimamia mahusiano ya mbunge na Waislamu hivyo amenunuliwa gari hiyo kama kitendea kazi.

Kuhusu kuchunguzwa mwenyekiti amesema ni kweli aliitwa Takukuru wilayani na wakamwambia tuhuma hizo ni za kisiasa hivyo jalada limepelekwa Dodoma ambako alihojiwa Ijumaa iliyopita na sasa anasubiri majibu.

Mwisho mwenyekiti amebainisha kuwa mkuu wa wilaya ni mtu mkorofi na kwamba anataka kugombea ubunge wa jimbo hilo na kila wakati amekuwa anawatisha kwamba yeye ana ulinzi wa kigogo aliye juu.

Chanzo: Clouds 360

Maendeleo hayana vyama!
Hiyo iko hivi... Watch at your own risk...


Jr
 
Hii ishu nimpongeza sana mkuu wa wilaya, Shabiby astaafu, mwigulu ajisafishe hii ni aibu hasa kipengele cha dini! Mwenyekiti bye bye, Mtu pesa na siasa pesa mjiandae maumivu makali yaja
 
... kwa tuhuma hizo yeye DC, Shabiby, Mwigulu, na huyo Mwenyeki wa CCM (W) wanatakiwa "kuchinjiwa" mbali kabisa huko wafutwe kabisa uanachama. Akisimamia "mahusiano na waislamu"! Kuna cheo cha aina hiyo siku hizi hadi kununuliwa gari la kutekeleza jukumu hilo?
Yaani 'wachinjiliwe' mbali kwa TUHUMA tu?
 
Mkuu wa wilaya ya Gairo amemtuhumu mwenyekiti wa CCM wa wilaya kwamba amehongwa gari na mbunge Ahmed Shabiby ili wambebe kwenye uchaguzi. Mkuu wa wilaya amewataka Takukuru wamshughulikie mwenyekiti huyo.

Naye mwenyekiti wa CCM amesema gari hilo hajahongwa na Shabiby kama inavyodaiwa bali amenunuliwa na waziri wa Katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba. Mwenyekiti amesema yeye pia ni msaidizi wa Dkt. Mwigulu jimboni Iramba akisimamia mahusiano ya mbunge na Waislamu hivyo amenunuliwa gari hiyo kama kitendea kazi.

Kuhusu kuchunguzwa mwenyekiti amesema ni kweli aliitwa Takukuru wilayani na wakamwambia tuhuma hizo ni za kisiasa hivyo jalada limepelekwa Dodoma ambako alihojiwa Ijumaa iliyopita na sasa anasubiri majibu.

Mwisho mwenyekiti amebainisha kuwa mkuu wa wilaya ni mtu mkorofi na kwamba anataka kugombea ubunge wa jimbo hilo na kila wakati amekuwa anawatisha kwamba yeye ana ulinzi wa kigogo aliye juu.

Chanzo: Clouds 360

Maendeleo hayana vyama!
 

Attachments

  • Vyeo.MP4
    4.3 MB
Mkuu wa wilaya ya Gairo amemtuhumu mwenyekiti wa CCM wa wilaya kwamba amehongwa gari na mbunge Ahmed Shabiby ili wambebe kwenye uchaguzi. Mkuu wa wilaya amewataka Takukuru wamshughulikie mwenyekiti huyo.

Naye mwenyekiti wa CCM amesema gari hilo hajahongwa na Shabiby kama inavyodaiwa bali amenunuliwa na waziri wa Katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba. Mwenyekiti amesema yeye pia ni msaidizi wa Dkt. Mwigulu jimboni Iramba akisimamia mahusiano ya mbunge na Waislamu hivyo amenunuliwa gari hiyo kama kitendea kazi.

Kuhusu kuchunguzwa mwenyekiti amesema ni kweli aliitwa Takukuru wilayani na wakamwambia tuhuma hizo ni za kisiasa hivyo jalada limepelekwa Dodoma ambako alihojiwa Ijumaa iliyopita na sasa anasubiri majibu.

Mwisho mwenyekiti amebainisha kuwa mkuu wa wilaya ni mtu mkorofi na kwamba anataka kugombea ubunge wa jimbo hilo na kila wakati amekuwa anawatisha kwamba yeye ana ulinzi wa kigogo aliye juu.

Chanzo: Clouds 360

Maendeleo hayana vyama!
Kazi imeanza ccm oyeee
 
Nishawahi Kuingia kwenye 18 zke
Ila nlichomoka kwa kutumia ualwatan
Ila huko gairo ni shida
Haelewani na kila mtu

Ova
mm nawaogopa wa Nguu sana, km utaweza kuishi ukanda huu, uwe na roho ngumu
lazima utazushiwa mengi, hata ukitenda wema, hao wamekutana na kiboko yao huyohuyo Ahmedi Shabiby


km huna bundle usiifungue ni majungu tupu ndipo tuhuma zilipozidi, Madiwani Nchi nzima wanakopeshwa na CRDB na watakatwa kwenye mishahara yao (Posho ya Mwezi) miezi 60 na wala sio Posho ya vikao
sasa huyu Mama kimemuuma hata sijui ni nini maana wakishindwa watakatwa kiinua mgongo chao na CRDB
 
Verossa

ndiyo gari aliyopewa
lkn jua hivi viMiji km Gairo vinatawaliwa sana na majungu
naona ni makabila yanayozunguka eneo hilo
mkuu kweli makabila ya kimbea verosa tu tena inakunywa mafuta hiyo six cylinder roho mbaya hiyo
 
Back
Top Bottom