Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,536
Anasema hiviView attachment 1472472
Mhh wewe uko Mbingu kilombero?
Anasema hiviView attachment 1472472
Shabiby hahusiki hapa. Ishu ni mwanyekiti na DCShabiby kaa mbali na huyo mwanamke. Ni mchepuko wa boss mkubwa. Achia ubunge na kila kitu. Endelea tu na biashara zako.
Huu ni ushauri wa bure, utafilisiwa, utasingiziwa kesi na ubunge utakosa.
USIJE UKASEMA SIKUKUAMBIA!.
Shabiby hahusiki hapa. Ishu ni mwanyekiti na DC
Huyo mama ni mke wa Prof Mchembe,katibu mkuu Wizara ya afya. Inawezekana mama anataka kugombea ubunge huko maana ni kwao pia.Shabiby kaa mbali na huyo mwanamke. Ni mchepuko wa boss mkubwa. Achia ubunge na kila kitu. Endelea tu na biashara zako.
Huu ni ushauri wa bure, utafilisiwa, utasingiziwa kesi na ubunge utakosa.
USIJE UKASEMA SIKUKUAMBIA!.
Mkuu wa wilaya ya Gairo amemtuhumu mwenyekiti wa CCM wa wilaya kwamba amehongwa gari na mbunge Ahmed Shabiby ili wambebe kwenye uchaguzi. Mkuu wa wilaya amewataka Takukuru wamshughulikie mwenyekiti huyo.
Naye mwenyekiti wa CCM amesema gari hilo hajahongwa na Shabiby kama inavyodaiwa bali amenunuliwa na waziri wa Katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba. Mwenyekiti amesema yeye pia ni msaidizi wa Dkt. Mwigulu jimboni Iramba akisimamia mahusiano ya mbunge na Waislamu hivyo amenunuliwa gari hiyo kama kitendea kazi.
Kuhusu kuchunguzwa mwenyekiti amesema ni kweli aliitwa Takukuru wilayani na wakamwambia tuhuma hizo ni za kisiasa hivyo jalada limepelekwa Dodoma ambako alihojiwa Ijumaa iliyopita na sasa anasubiri majibu.
Mwisho mwenyekiti amebainisha kuwa mkuu wa wilaya ni mtu mkorofi na kwamba anataka kugombea ubunge wa jimbo hilo na kila wakati amekuwa anawatisha kwamba yeye ana ulinzi wa kigogo aliye juu.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Ishu iko hivi; huyo mwenyekiti alikabidhiwa gari hilo kwenye hoteli ya Morena ambayo ni ya Shabiby. DC akajua, Shabiby ndiye aliyemnunilia wakati sivyo. Hata Mwigulu mwenyewe hakutoa pesa cash yote ili kununuliwa gari hilo, Verosa maruni bali alichangia kiasi cha pesa kwa sababu mwenyekiti huyo ni msaidizi wake jimbo la Iramba hata kabla hajawa mwenyekiti CCM Gairo. Hata kwenye sikukuu ya Idi Nzega, mwenyekiti na Mwigulu walikuwa wote.Mkuu wa wilaya ya Gairo amemtuhumu mwenyekiti wa CCM wa wilaya kwamba amehongwa gari na mbunge Ahmed Shabiby ili wambebe kwenye uchaguzi. Mkuu wa wilaya amewataka Takukuru wamshughulikie mwenyekiti huyo.
Naye mwenyekiti wa CCM amesema gari hilo hajahongwa na Shabiby kama inavyodaiwa bali amenunuliwa na waziri wa Katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba. Mwenyekiti amesema yeye pia ni msaidizi wa Dkt. Mwigulu jimboni Iramba akisimamia mahusiano ya mbunge na Waislamu hivyo amenunuliwa gari hiyo kama kitendea kazi.
Kuhusu kuchunguzwa mwenyekiti amesema ni kweli aliitwa Takukuru wilayani na wakamwambia tuhuma hizo ni za kisiasa hivyo jalada limepelekwa Dodoma ambako alihojiwa Ijumaa iliyopita na sasa anasubiri majibu.
Mwisho mwenyekiti amebainisha kuwa mkuu wa wilaya ni mtu mkorofi na kwamba anataka kugombea ubunge wa jimbo hilo na kila wakati amekuwa anawatisha kwamba yeye ana ulinzi wa kigogo aliye juu.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Lakini siku hizi wanawake wenye matako makubwa hawavai chupi
Kazi yetu ni kuchochea kuniMkuu wa wilaya ya Gairo amemtuhumu mwenyekiti wa CCM wa wilaya kwamba amehongwa gari na mbunge Ahmed Shabiby ili wambebe kwenye uchaguzi. Mkuu wa wilaya amewataka Takukuru wamshughulikie mwenyekiti huyo.
Naye mwenyekiti wa CCM amesema gari hilo hajahongwa na Shabiby kama inavyodaiwa bali amenunuliwa na waziri wa Katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba. Mwenyekiti amesema yeye pia ni msaidizi wa Dkt. Mwigulu jimboni Iramba akisimamia mahusiano ya mbunge na Waislamu hivyo amenunuliwa gari hiyo kama kitendea kazi.
Kuhusu kuchunguzwa mwenyekiti amesema ni kweli aliitwa Takukuru wilayani na wakamwambia tuhuma hizo ni za kisiasa hivyo jalada limepelekwa Dodoma ambako alihojiwa Ijumaa iliyopita na sasa anasubiri majibu.
Mwisho mwenyekiti amebainisha kuwa mkuu wa wilaya ni mtu mkorofi na kwamba anataka kugombea ubunge wa jimbo hilo na kila wakati amekuwa anawatisha kwamba yeye ana ulinzi wa kigogo aliye juu.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Hivi mnafanya makusudi au?Amenunuliwa yeye kama yeye ? au nafasi/cheo/ anachokitumikia ?
Siku nyingi tu na misikiti kibao amefadhili ujenziHiki cheo cha mahusiano na waislam kimeanza lini?. Hii sasa hatari.
Mzwe baba we tulia. Utakuja kuujua ukweli. Kikubwa endelea kufuatalia huu uzi!Shabiby hahusiki hapa. Ishu ni mwanyekiti na DC
Awamu hii NYUCHI zinalipa. Yule waziri wa Corona kahakikishiwa ubunge Tanga Mjini.Huyo dc nasikia amejaaliwa Neema za Allah ana tako balaaa
Mbona liko waziMzwe baba we tulia. Utakuja kuujua ukweli. Kikubwa endelea kufuatalia huu uzi!
Bwashee jina la DC sikulisikia vizuri luningani!Johnthebaptist,
Ni rushwa hongo, ila taarifa ina mapungufu mfano DC wa Gairo ni nani, pia DC kuwa msaidizi wa mbunge Mwigulu Nchemba hii ina utata. Tunajua wabunge wana ofisi na wasaidizi.