johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
- Thread starter
- #41
DC hayupo Gairo kwa bahati mbaya.......nakuhakikishia atashinda!Gairo naijua nje ndani
Watu wa huko nawajua shabiby ashawakamata
Hyo dc asitake ligi naye ohoo
Ova
DC hayupo Gairo kwa bahati mbaya.......nakuhakikishia atashinda!Gairo naijua nje ndani
Watu wa huko nawajua shabiby ashawakamata
Hyo dc asitake ligi naye ohoo
Ova
Mkuu wa wilaya ya Gairo amemtuhumu mwenyekiti wa CCM wa wilaya kwamba amehongwa gari na mbunge Ahmed Shabiby ili wambebe kwenye uchaguzi. Mkuu wa wilaya amewataka Takukuru wamshughulikie mwenyekiti huyo.
Naye mwenyekiti wa CCM amesema gari hilo hajahongwa na Shabiby kama inavyodaiwa bali amenunuliwa na waziri wa Katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba. Mwenyekiti amesema yeye pia ni msaidizi wa Dkt. Mwigulu jimboni Iramba akisimamia mahusiano ya mbunge na Waislamu hivyo amenunuliwa gari hiyo kama kitendea kazi.
Kuhusu kuchunguzwa mwenyekiti amesema ni kweli aliitwa Takukuru wilayani na wakamwambia tuhuma hizo ni za kisiasa hivyo jalada limepelekwa Dodoma ambako alihojiwa Ijumaa iliyopita na sasa anasubiri majibu.
Mwisho mwenyekiti amebainisha kuwa mkuu wa wilaya ni mtu mkorofi na kwamba anataka kugombea ubunge wa jimbo hilo na kila wakati amekuwa anawatisha kwamba yeye ana ulinzi wa kigogo aliye juu.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Soma tena!
Hawa watu wa Lumumba wana vina-saba vya rushwa!!
... CCM kumejaa makokoro ya ajabu haswa! Kwa kweli ni hasara kubwa sana kwa taifa no wonder since 1961 hatupigi hatua ya maana.
Kwani Kigogo wa Twitter anasemaje juu ya hili?
... kwa tuhuma hizo yeye DC, Shabiby, Mwigulu, na huyo Mwenyeki wa CCM (W) wanatakiwa "kuchinjiwa" mbali kabisa huko wafutwe kabisa uanachama. Akisimamia "mahusiano na waislamu"! Kuna cheo cha aina hiyo siku hizi hadi kununuliwa gari la kutekeleza jukumu hilo?
Lisu hajahutubia bali ametoa maelezo!Pamoja na yoote hayo naomba kwa leo tuyaache hadi baada ya siku 7 ili tuendelee kutafakali hotuba ya rais mtarajiwa mh Lissu View attachment 1472362
Thibitisha!
Mwigulu kaanza Tena huyu jamaa kichwa ngumu sana
Lisu hajahutubia bali ametoa maelezo!
Huwez kumtoa shabiby gairo
Ova
Hataree
Shabiby kaa mbali na huyo mwanamke. Ni mchepuko wa boss mkubwa. Achia ubunge na kila kitu. Endelea tu na biashara zako.
Huu ni ushauri wa bure, utafilisiwa, utasingiziwa kesi na ubunge utakosa.
USIJE UKASEMA SIKUKUAMBIA!.
Anasema hiviKwani Kigogo wa Twitter anasemaje juu ya hili?