KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 3,882
- 4,511
Kwani Kigogo wa Twitter anasemaje juu ya hili?
Hahahaa amekaa kmya ukute yeye ndo alihonga.
Kwani Kigogo wa Twitter anasemaje juu ya hili?
Anaitwa Siriel MchembeBwashee jina la DC sikulisikia vizuri luningani!
Ase kweli. Nasikia kulikuwa na kikao cha madiwani na DC huyo. Madiwani walikuwa 'wakimlalamikia' mheshimiwa huyo mambo fulani, lakini ghafla DC akaanza na tuhuma dhidi ya mwenyekiti wa CCM wilaya. Halafu gari lenyewe limenunuliwa kwa Tsh. Milioni 4.I hate politics