FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

Mie nilijua nipo juu zaidi yako kumbe umenizidi! Mie nawamiliki wa 4.

1. Mr Rocky ! 2. Filipo ! 3. Mungi na husband nitonye !

duh kazi ipo sweetlady mekumiss wewe

Mi namiliki sahani mbili za plastic na vikombe vyake na sufuria mbili na jiko la kutumia mkaa moja na chumba cha kujengwa na kuezekwa kwa mavi ya ng'ombe hapa Hungumalwa na shamba ekari 50 ninazolima pamba na mtama
 
Last edited by a moderator:
duh kazi ipo sweetlady mekumiss wewe

Mi namiliki sahani mbili za plastic na vikombe vyake na sufuria mbili na jiko la kutumia mkaa moja na chumba cha kujengwa na kuezekwa kwa mavi ya ng'ombe hapa Hungumalwa na shamba ekari 50 ninazolima pamba na mtama
Hahaha! Mekumiss pia Mr Rocky !

Msimu ujao wa pamba nishtue nije kukusaidia kuvuna.
 
Last edited by a moderator:
Me namiliki wanaume watano.
Na wote nawamudu.

Hivi yale matangazo ya 'TUKO WANGAPI,TAFAKARI' Madame B kumbe wewe hayakuhusu?
Itabidi hawa jamaa tuwaambie waache kupoteza fedha zao za matangazo maana ni kazi bure.....
 
Last edited by a moderator:
1. namiliki kibanda cha m-pesa ingawa maranyingi wateja wakija mtandao unasumbua
2. nachajisha simu, nina chaja za kobe2, nokia pini kubwa2 na pini ndogo1
3. nimeajili vijana wawili wadogo kuuza maji shule
kwa kifupi natengeneza hela ninauwezo wa kumnunulia mwanamke wanja na ....
 
Nicas Mtei we utakuwa unamiliki GAMBOSHI nshakustukia.... nipe tenda ya kusupply msosi basi!!!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Zombiiiiii!!!!!
kaainisha mwenyewe kuwa mumewe ni nani, sasa mliobaki tuwaiteje kama sio zombiiiii...

Haya ngoja nkupe jina zuri... MBEBA MAUA...
Hahahaha sis taratibu bana utaniangushia vidumu vyangu lol.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom