Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,190
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni kweli hata kupigwa tano tano back to back Simba ni muasisi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni kweli hata kupigwa tano tano back to back Simba ni muasisi
SureUfalme wa waarabu kwenye soka la Afrika unaenda kupotea.
Wavushwe na majini ama vibwengo au vinyamkera hatuwezi kuwapongeza, fatilia ligi mbalimbali duniani utagundua kitu.Mkuu, imagine hayo majini yakawavusha robo fainali tutasema nini?
Sisi tunafika hadi nusu mzeeSasa robo fainali nayo ni habari mpya kwa Simba?
Nyie mnavumna rekodi zenu wenyewe
Sisi huko kwenye robo sio malengo kabisa
Uzuri unajuwa San mpira directly tumetimbaaaMpira hauitaji hasira...unaweza kufa kwa jakamoyo...ni bora uangalie mambo mengine...yani hawa uto ni wa kufuzu direct hivi...aaah nyieee
Bwashee ongea mpira sio ushabiki hii Yanga SC ni timu hatari sana ikifanya vizuri ipe sifaWavushwe na majini ama vibwengo au vinyamkera hatuwezi kuwapongeza, fatilia ligi mbalimbali duniani utagundua kitu.
Hawa Uto ni wasindikizaji tu hawana lolote jipya.
nitawafurahishaaa mbonaaa.Pole Mtani ndo ujue kila muosha uoshwa. Hapo wanakusubiria kwa hamu.
Mie naombea game iende ndivyo sivyo ili wakusuuze vizuri.
Hawa sio Uto ni majini matupu yanacheza
wenye nafas zao hapo na wenyeji wanakuja, nyie wageni acheni wengee bas.Sema hii ni ligi ya mabingwa na mabingwa wa Nchi wote wameshafuzu kabla ya kumaliza mechi zao tunawasubiria viti maalum watuongezee idadi ili akidi itimie
Sijaona kipya kilichofanywa na Uto kwa mechi ya leo, wala haina uhatari wowote hivyo sioni sababu ya kuipa sifa timu yenye jezi za njano na kijani kibichi.Bwashee ongea mpira sio ushabiki hii Yanga SC ni timu hatari sana ikifanya vizuri ipe sifa
Saba chache sana mkuuKwa huu uongozi wa kipumbavu wa Simba na sajili zao za michongo tukikutana na hawa wasenge zamu hii tunaweza kupigwa hata 7
That sounds inferiorIt's because I'm not feeding your ego mkuu
You can just put me in ignore listThat sounds inferior
iyo buku vpMkishinda hii mechi ya waarabu mje mniombe buku nimekaa paleeee
Yaani mnakandwa kwa Lupaso na mnasugulia Misri
Pitia reply za mwanalunyasi tukuka Scars kalidadavua hili kwa uzuri.Kwanini Unassma wameshafuzu wakati bado Mechi ya Mwisho Al Ahly vs Yanga na CR belauzidad na Medeama
Vipi Yanga Akifungwa na Al Ahly halafu Beloizdad akampiga Medeama?
daaah kama ulijuaKaka hii ni Jioni ya Leo baada ya ushindi wa goli nne dhidi ya belouizdad 😂😁🤣🤣