mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,079
- 1,884
Wanatolewaa hawa masandawana.Sema penalty hawatoboi hawa masambwanda
😐 refa msengerema sanaLile goli lilikuwa kali alibutua kisawasawa
Mi nimetukana kwa sauti ss hivi najisikia aibu madogo wananichora sister leo vipi 🤣🤣🤣🤣Lile goli limenifanya niumwe
Naunga mkono hojawasauzi na mpira wapi na wapi? yao muziki na party
Watoke aiseee wamenikera kutukatalia goli lileWanatolewaa hawa masandawana.