Masandawana
Member
- Jul 13, 2023
- 84
- 221
Leo kunapigwa mchezo wa Fainali ya African Football League mkondo wa pili.
Ni Mamelodi Sundowns Vs Wydad Athletic Club saa 10:00 jioni katika dimba la Loftus Versfeld jijini Pretoria.
Katika mkondo wa kwanza Wydad alishinda 2-1.
Leo kazi ni moja tu kwa Mamelodi kuibuka na ushindi na kutwaa ndoo ya kwanza ya mashindano hayo mapya barani Afrika.
#######
MAMELODI BINGWA AFRICAN FOOTBALL LEAGUE 2023
Timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini imebeba ubingwa wa The African Football League 2023 kwa kuitandika Wydad Casablanca ya Morroco magoli 2-0 katika Fainali ya Pili.
Kutokana na matokeo hayo, Mamelodi imeshinda kwa jumla ya magoli 3-2 kwa kuwa katika Fainali ya Kwanza Wydad AC ilishinda magoli 2-1.
Mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Loftus Versfeld Jijini Pretoria umekamilisha safari ya Michuano hiyo iliyofanyika kwa mara ya kwanza ilishirikisha timu nane ikiwemo Simba ya Tanzania.
Ni Mamelodi Sundowns Vs Wydad Athletic Club saa 10:00 jioni katika dimba la Loftus Versfeld jijini Pretoria.
Katika mkondo wa kwanza Wydad alishinda 2-1.
Leo kazi ni moja tu kwa Mamelodi kuibuka na ushindi na kutwaa ndoo ya kwanza ya mashindano hayo mapya barani Afrika.
#######
MAMELODI BINGWA AFRICAN FOOTBALL LEAGUE 2023
Timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini imebeba ubingwa wa The African Football League 2023 kwa kuitandika Wydad Casablanca ya Morroco magoli 2-0 katika Fainali ya Pili.
Kutokana na matokeo hayo, Mamelodi imeshinda kwa jumla ya magoli 3-2 kwa kuwa katika Fainali ya Kwanza Wydad AC ilishinda magoli 2-1.
Mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Loftus Versfeld Jijini Pretoria umekamilisha safari ya Michuano hiyo iliyofanyika kwa mara ya kwanza ilishirikisha timu nane ikiwemo Simba ya Tanzania.