Mama atavunga vunga tu na kulembua macho yake lakini tusitegemee jipya katika kupata Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi.
Hicho kikao cha Mbowe na Samia kikitokea kitanohmga zana
 
Rais SSH anateswa na kivuli cha JPM. JPM & CCM mlitaabisha sana Taifa. Rais anaendelea kujisifu kuwa sehemu ya utesi huu. Hajutii. Bila kukiri & kutubu ni ubatili. Bunge haramu nalo giza! Rais kachagua kutafuta suluhu ya CCM siyo Taifa. Kazi bado ipo. Tusibweteke. Muda uongee!

View attachment 1760759
Hata akikutana anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.

Maana yake baada ya kukutana hatutarajii kuwaona akina Lisu wakiponda Atcl, Sgr, bwawa la Nyerere kuwa ni miradi ya hovyo badala yake wataanza kusema hiyo ni miradi ya watanzania.


Kwa akili za kina Mbowe wanahisi mama ataenda kuwaruhusu kufanya maandamano kila siku.
 
Mwenyekiti anajua mama atasoma tu ujumbe wake kwasababu ni mtu wa mitandao, well ngoja tuone muda utaongea.
 
Hawa wanasiasa wawili wanaokuwa na tabia ya kujinasibu kuwa wao mabinbwa wa uzandiki wa siasa za hapa Tanzania mbona wako Kimya?

Au ndio wanaunga juhudi kimyakimya maana tumeshuhudia miaka mitano chini ya hayati JPM wakiburuzwa na kugarazwa kama kambale kwenye matope.
Umejuaje wapo kimya na unafikiri kwanini bado wako kimywa.
 
Zaidi Ndugai ndio anatakiwa awe wa kwanza kabisa mstari wa mbele kuomba radhi, kiongozi wa bunge haramu.
 
Hata akikutana anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.

Maana yake baada ya kukutana hatutarajii kuwaona akina Lisu wakiponda Atcl, Sgr, bwawa la Nyerere kuwa ni miradi ya hovyo badala yake wataanza kusema hiyo ni miradi ya watanzania.


Kwa akili za kina Mbowe wanahisi mama ataenda kuwaruhusu kufanya maandamano kila siku.
🤝🤝
 
Hawa wanasiasa wawili wanaokuwa na tabia ya kujinasibu kuwa wao mabinbwa wa uzandiki wa siasa za hapa Tanzania mbona wako Kimya?

Au ndio wanaunga juhudi kimyakimya maana tumeshuhudia miaka mitano chini ya hayati JPM wakiburuzwa na kugarazwa kama kambale kwenye matope.
Uzuri ni kwamba hata CCM yenyewe sasa inawaacha wapumbavu kama wewe. Baada ya April 30 ndo wewe na kundi lako mtajikuta yatima kabisa.
 
Back
Top Bottom