AGITATOR
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 4,904
- 6,127
Huyu faru John naye, badala ya kujenga saccos yake anapayuka pumba tu.
Huyu faru John naye, badala ya kujenga saccos yake anapayuka pumba tu.
No easy way to freedom and justice. The announcement from "Mama" is too sweet to be credible. Let the serious opposition camp walk in cautiously. It might be a snare.Wakikutana kwa hekima ya mama najua atanyamaza labda kofia ya chama imwendeshe mama
Ulitaka Mbowe afanye nini wakati mijizi iliiba kura na bunduki zinazonunuliwa kwa Kodi zetu..aaarrggghhh
mauaji ya nini labda!!
kuna vishandu wanauwawa kila siku,magaidi wataendelea kuuwawa pia.
hata wanaohatarisha usalama watauwawa pia,kazi kwenu kuchambua.
Kwenye Tigo yako??!Imekupenya au siyo?
..wahusika wanajua MAUAJI gani nayazungumzia hapa.
..wewe inaelekea hujaguswa, au huhusiki.
mama samia kumbuka alikuwa remote control wa jizi la mabox ya kuraNi nani yule aliyewaambia wapiga kura kuwa hata wasipoichagua ccm bado itatangazwa kuwa imeshinda?!