pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Afande Selle; ni vyema ukawa na tabia ya kujikita ktk kusoma hoja kwanza badala ya kukurupuka. Anyway, naona ni ile mibange yako na ile albadirr uliyosomewa.Huyu Dj anajua kuwa na yeye ni dikteta au kwa vile Chadema hawamwambii ukweli? sifa moja ya madictator kung'ang'ania madarakani
Sitaki kuamini kama Chadema wote hawana akili mwenye akili ni Mbowe tu lakini kumbukeni Mbowe ni Binadamu kuna siku atakuwa hayupo leo JPM hayupo lakini CCM ipo na inapata mwenyekiti mwingine kwa amani kabisa kila mtu akitabasamu kwa maana utaratibu ulishatengenezwa siku Mbowe akiondoka tutashuhudia ugomvi na kugombea madaraka ndani ya Chadema .