Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,275
- 123,707
Dogo anajua. Ila kuna namna wanam hypeUyu dogo wanampa sifa za kijinga tu
Dogo anajua. Ila kuna namna wanam hypeUyu dogo wanampa sifa za kijinga tu
Wanakaba kweli lakini wanafungika vizuri tu.Uzuri Simeone unaujua shughuli yake akitaka alinde ushindi
Nilikuwa hapa inter milan alipo kutoa mwaka jana, usilie uki tolewa tena.Usije ukakimbia wewe tu.
Kwenye mtoano hawa wanakaza nati haswa.Wanakaba kweli lakini wanafungika vizuri tu.
Au sio?, kakutoa lile kombe akiwa kwake, wewe uko kwako hahahaWanakaba kweli lakini wanafungika vizuri tu.
Bro nakumbuka mpaka leo mimi nilibaki na nikawa nawa ambia mtasema inzaghi ana kaa wapi 😂
duh hali ishakua ngumu, tupo middle east huku kwa sasa
Next game naenda kumdunda ATM kwake utalia wewe.
Huyu bwana mdogo ni fundi haswa
Asha waambia hamna cr7 😂😅Next game naenda kumdunda ATM kwake utalia wewe.
Wewe ndio uko middle east au una, zungumzia mwenendo wa timu yako?duh hali ishakua ngumu, tupo middle east huku kwa sasa
Kwakweli ile siku nilimaliza matusi yote kwa Atletico
Atletico tena?, akati ni inter milan mzee.Kwakweli ile siku nilimaliza matusi yote kwa Atletico
Niliwaona mbwa sana siku ile kwa kuruhusu magoli ya kirahisi.
mwenendo wa timu atatolea maelezo hydroxo, mimi nataka kombe kwanzaWewe ndio uko middle east au una, zungumzia mwenendo wa timu yako?
Mi najua mnazungumzia mechi ya Barca na Inter kwenye Coper Derey ambayo Atletico alifungwa bao 3Atletico tena?, akati ni inter milan mzee.
Mimi ndiye mpinzani pekee niliye baki hadi mwisho wa mpira.
Familia leo huu mpepe ume kuzidia, inter anacheza coper de rey kuanzia lini? 😅Mi najua mnazungumzia mechi ya Barca na Inter kwenye Coper Derey ambayo Atletico alifungwa bao 3
View attachment 3569856