Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,240
- 79,797
Hii itaenda 120
Naziona 120Moja huko❤️💙
Pumbavu chuma 2-2 huko endelea kubinua kalio hiloYani kama sio mtu wa hizi mambo lazima tu zitakukataa hata uwe wewe na kipa.
Hii counter wangeipata Inter tungekuwa tunaongea mengine saizi.
Kabisa..madogo wamezinguaYani kama sio mtu wa hizi mambo lazima tu zitakukataa hata uwe wewe na kipa.
Hii counter wangeipata Inter tungekuwa tunaongea mengine saizi.
yeahAu sio
kaka inzaghi anakaa kijiji gani 🤣Labda humjui inzaghi
ahaaaAmeanza kufaaa