FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Scars msimu mwingine natabiri barca kutolewa na inakua đŸ˜‚.

Lax, hydroxo, loose Nut
Jana Toress alinifanya nilale mapema

Asubuhi nacheki livescore nakuta 1-2

Haki tena nimefurahi sana

Ila ATM wana miyeyusho ya kisenge sana, defense yao siku hizi imekuwa ya mashaka sana. Yakifanyiwa high pressing ni mepesi mno kuchomesha.

Magoli yote mawili ni uzembe wa defense kushindwa kumudu pressing.
 
Jana Toress alinifanya nilale mapema

Asubuhi nacheki livescore nakuta 1-2

Haki tena nimefurahi sana

Ila ATM wana miyeyusho ya kisenge sana, defense yao siku hizi imekuwa ya mashaka sana. Yakifanyiwa high pressing ni mepesi mno kuchomesha.

Magoli yote mawili ni uzembe wa defense kushindwa kumudu pressing.
ATM , hamna team , yule hata kushambulia hawezi, sidhani kama atafika mbali mkuu
 
So Barcelona is the Netflix fc of UCL đŸ¤”
FB_IMG_1776237659411.jpg
 
Jana Toress alinifanya nilale mapema

Asubuhi nacheki livescore nakuta 1-2

Haki tena nimefurahi sana

Ila ATM wana miyeyusho ya kisenge sana, defense yao siku hizi imekuwa ya mashaka sana. Yakifanyiwa high pressing ni mepesi mno kuchomesha.

Magoli yote mawili ni uzembe wa defense kushindwa kumudu pressing.
Mzee wa mbio, kabla game haija isha đŸ˜…đŸ˜‚
 
Tena nilikuwa naicheki kwenye PC na mwanangu ambaye ni Madridista mwenzangu

Goli la dakika 4 lilivyoingia tukawa tumekubaliana likiingia lapili kwenye hii 1st half tuzime tu PC
Daaah sijui tungeficha wapi sura zetu kwa fans wa aka katoto lamine nyamal đŸ˜…
 
Bado mechi mbili tu tupite hivi na la liga.

Kama tukishinda mechi na osasuna mechi na Madrid itakuwa ya kutangaza ubingwa.

Ikitokea tumeshinda jamaa zetu wameshakataa kutupa guard of honour.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom