Master Race
JF-Expert Member
- Feb 19, 2026
- 823
- 2,007
Oyaa wazee, Haya ni mauaji ya kimbari, Newcastle walivyorudi Kipindi cha pili walidhani Barca tunawaweza hata mm nlijua Leo kazi ipo...Aisee timu za EPL zinagawa Sana uroda hazina ubavu wa kucheza knockout kabisa.