FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hawa Huesca whatever the outcome sio wa kutunyima usingizi--tuna unfinished business Tuesday- English people wanachonga sana
Underestimate EPL clubs at your own peril.
Your unfinished business was done and you got what you deserved.
Don’t mess with England
 
FB_IMG_15584259329501131.jpeg

Xavi played the last game of his career
 
Setien amefanya mutual agreement kuachana na betis na amesema anapenda siku moja kufundisha barca to huyo msimamizi wa mazoezi leti mwenye attacking philosophy na mpira mzuri mambo ya kupeana presha kwa comeback tumechoka sio type yetu watu wa mpira
 
Nilisema tangu uefa ya last year Barcelona wana shida ya mild-field ..niliwah kusema hata cout, ama dembele should not be the main target bali waangalie overhaul ya mild field kwa ujumla..! Kitu kingne kocha ni mbovu sana ..humiliation mara 2 mfululizo na board mpaka sasa bado imemshikilia ..., any way walah sikuhumia sana kwa sababu since last year niliyajua haya na ckufuatilia mech nying za barca zaid ya zile za uefa ..!!!
 
Nilisema tangu uefa ya last year Barcelona wana shida ya mild-field ..niliwah kusema hata cout, ama dembele should not be the main target bali waangalie overhaul ya mild field kwa ujumla..! Kitu kingne kocha ni mbovu sana ..humiliation mara 2 mfululizo na board mpaka sasa bado imemshikilia ..., any way walah sikuhumia sana kwa sababu since last year niliyajua haya na ckufuatilia mech nying za barca zaid ya zile za uefa ..!!!
Polen sana kwa Barcelona fans...valverde kaifanya barca ionekane kama team ya kawaid
 
Huu uzi toka kipigo cha UEFA naona mmeukimbia.

Anyway, nadhani mmemsikia Messi akikiri kwamba tokea azaliwe hajawahi kukutana na yaliyomkuta Anfield.
hii timu naipenda kwa asilimia fulani lakini kwa miaka hii ya karibuni imekuwa ikiongoza kwa kufanya usajili wa ovyo wenye kuleta faida kwa muda mfupi.
alex vidal
paulinho
andre gomez
malcom
yeri mina
todibo
boateng
vermaelen
paco alcacer
coutinho + dembele (mchango wao ndani ya klabu ni homa za vipindi)
 
hii timu naipenda kwa asilimia fulani lakini kwa miaka hii ya karibuni imekuwa ikiongoza kwa kufanya usajili wa ovyo wenye kuleta faida kwa muda mfupi.
alex vidal
paulinho
andre gomez
malcom
yeri mina
todibo
boateng
vermaelen
paco alcacer
coutinho + dembele (mchango wao ndani ya klabu ni homa za vipindi)

Kuna msemo wa hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho, kuna uwezekano mkubwa era ya Barca hii inaisha, wanajaribu kuhakikisha kwamba wanapata UEFA kabla Messi hajaisha, hivyo wanajikuta wanajikuta wanafanya shortrun deals.

Hawafanyi targets za Life After Messi, wanafanya za Life With Messi, mwisho wanajikuta zinashindwa kuzalisha kwa sababu ya kutofit culture.
 
Wakuu tumepoteana sana humu ndani turejee sasa machungu yameisha...

Kama mnavyojua hii game ya leo ilivyongumu kuiona luningani me nilikua naomba link
Machungu yameisha Kwako,kwa wengine bado ni msiba wataomboleza mwaka mzima huu
 
Hamna kitu kama love for your club ... when it rains,night ,sick ,worse ,hot...natambaaa na Barca ,here we go....for Copa de ley final ...sijalipia siku nyingi startimes king'amuzi nimelazimika Leo.....na ku set antenna
It's world football number 254 we go guys....noise makers the have gone a trophless year

Love for the club no matter what ,tukianguka we rise up ,when the want us to go low we fly higher and higher
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom