FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Naona madogo baada yakupigwa europa wameona wachukue de la rey.
 
Huyu bartomeo anampenda sana valvede haha.
Yan ipo wazi kwamba timu haiwezi
Kila mechi ana formation mpya.
Au labda wanahofia kupata kocha mzuri kwa sasa ni mtihan .
 
Huyu bartomeo anampenda sana valvede haha.
Yan ipo wazi kwamba timu haiwezi
Kila mechi ana formation mpya.
Au labda wanahofia kupata kocha mzuri kwa sasa ni mtihan .
Wewe unaumia nini wakifungwa........nini kinachokuuma wewe timu yako ni Manchester city ya Barcelona yaache kama yalivyo........Au ni miongoni mwa wale wanaotumikia mabwana wa wawili kwa wakati mmoja.
 
Wewe unaumia nini wakifungwa........nini kinachokuuma wewe timu yako ni Manchester city ya Barcelona yaache kama yalivyo........Au ni miongoni mwa wale wanaotumikia mabwana wa wawili kwa wakati mmoja.
Haha apana mkuu .
Naisikitikiaa tu.
Ndomana nipo apa.
Naiachaje timu pendwa kabisa.
Tupo kwenye matanga tunawafariji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom