FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Pasi 48 zilizopigwa kwa sekunde mia na themanini na nne (184) = na dk 3, zikihusisha wachezaji wote 11 wa Barcelona kuanzia kwa golikipa hadi kwa Suarez, ndizo zilipekea kutengenezwa kwa goli lililomgusa shaw.

DNA ya kibaselona bado inaishi..

Jumanne ijayo mambo yatakua tofauti sana pale camp nou.

Visca el Barça

IMG_20190411_130641.jpeg
 
Match ya jumamosi ,Barcelona na Huesca
Velverde anatakiwa awapumzishe completely wachezaji wafuatao
1.Messi
2.Suarez
3.Busquets
5.Gerald Pique
6.Jordi Alba na
7.Rakitic

Wachezaji wafuatao inabidi wakaipambanie team tupate point 3
1.Coutinho
2.Dembele
3.Carles Arena
4.Lenglet
5.Semedo
6.Arthur Mello
7.S Roberto
8.Murillo
9.Prince Boateng
10.Malcolm
11.Cillisen
12.Inaki Pe'na
14.Ric Puig(achukuliwe kutoka Barcelona B)
15.Artulo Vidal
16.Todibo etc etc
Nimemaliza ...!!
Tutaingia jumanne dimbani kama tumefungwa vile ,Champions league is our no 1 priority
 
Match ya jumamosi ,Barcelona na Huesca
Velverde anatakiwa awapumzishe completely wachezaji wafuatao
1.Messi
2.Suarez
3.Busquets
5.Gerald Pique
6.Jordi Alba na
7.Rakitic

Wachezaji wafuatao inabidi wakaipambanie team tupate point 3
1.Coutinho
2.Dembele
3.Carles Arena
4.Lenglet
5.Semedo
6.Arthur Mello
7.S Roberto
8.Murillo
9.Prince Boateng
10.Malcolm
11.Cillisen
12.Inaki Pe'na
14.Ric Puig(achukuliwe kutoka Barcelona B)
15.Artulo Vidal
Nimemaliza ...!!
Tutaingia jumanne dimbani kama tumefungwa vile ,Champions league is our no 1 priority
Suarez anakadi hata hivyo, kadi ya makusudi apumzike ... Maana inaaminika vs roma last year, uchovu ilichangia.

Messi ana injury mi naona akiingia kama sub...

Pique ana kadi nadhani.. Kuna uwezekano wa kuwa benchi.
 
Suarez anakadi hata hivyo, kadi ya makusudi apumzike ... Maana inaaminika vs roma last year, uchovu ilichangia.

Messi ana injury mi naona akiingia kama sub...

Pique ana kadi nadhani.. Kuna uwezekano wa kuwa benchi.
Nimeshapenyezewa na ombi langu linaelekea kukubaliwa
Vijana wa 4 wapyaa leo wanaenda kuanza game Huesca

So kikosi kitakua tofauti na tunachokijua
 
Mousa Wague'...toto la Senegal Leo linapiga RB
Pamoja na makinda wengine Todibo(French man) ,Rui Puig (our promising future),Carles Arena ...wataanza match

Kama tulivyotabiri
Busquets,Pique,Messi ,Suarez hawako hata bench Leo ready for Tuesday match
 
Hawa waliopangwa leo inabidi wapambane sasa waonyeshe heshima yao haka kwa ushindi... Waonyeshe uhitaji wa namba
 
'Cometh the hour' GAZETTE za Catalunya laandika ktk front page in capital letters VELVERDE,ITS NOT ABOUT WINNING TODAY-ITS HOW YOU WIN THE GAME-Front page yote ni maneno hayo tu na the paper for today is not for sale,its free.
 
Barcelona are unbeaten in a tournament-record 30 CL games at
the Camp Nou (W27, D3), and have scored an average of 3.0 goals
per CL home match this season, whilst conceding 0.5. That record,
plus having progressed after winning an away first-leg of a UEFA
knockout tie 36 times from 38 such ties will have the Barca faithful
feeling confident.
 
Jamaa wanaongea sana huko mitandaoni dahh... Wajinga wana midomo
Mirefu.. Wacha saa 4 tukutaanyd machinjioni washa nchosha.. Tuaapige 3 wakae Kimya..
Ila tuangalie hawa jamaa wasije tibua shughuli yetu leo

$ There's clear light at the end of the Tannel $
 
Sikataai mechi ina tension lkn sitaki kuamini hawa mbwa wanaweza kupindua kwa mara ya tatu, tena camp nou...

Ntakua wa mwisho.. Suarez home pale ana goli lake moja au mbili.. Messi nusu kwa nusu maana wamempania.. Na dembele nae ana goli + assist.

Naimani tunashinda si chini ya goli 2..wanyamaze
Wakitupiga hakika humu tutahama maana watasema sana

$ There's clear light at the end of the Tannel $
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom