Mkuu mbona unachekaHAHAHAHAHAHAHAHAHHA HAHAHAHAHAHAHAHAHHA
Valencia fanyeni kweli
Mkuu haka katimu ukikamata Messi tu unajipia unavyotakaMkuu mbona unacheka
Liverpool sio watu wazuri wamesababisha timu nyingine zimejua udhaifu wa Barcelona wanawapiga mule muleMkuu haka katimu ukikamata Messi tu unajipia unavyotaka
Hahaha io inaweza kuwa kweli.Au mimi nikiingia humu ndio naleta gundu nini?
Ngoja nitoke zanguHahaha io inaweza kuwa kweli.
Siku nikikukuta umu majanga
Ngoja nitoke zangu
Sawa Esta. Dah!Byeee