FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

mwekundu leo umepauka na kuwa kijivu kama nyanyapuza!
Na sura lako hilo kama Sokwe!!!
Mbwa wakubwa nyie!!!

Ngoja nikampe Baba Debo kiuno akichezee atakavyo, kesho kuamka saa tatu.
Mpe hata jicho alifokonyoe

We unadhani nitaacha kushangilia Barca?

Today Velverde was very predictable ndio maana tumefungwa
 
Hii ndo tabu timu nzima kumtegemea mtu mmoja. Kulaleki barca kiukweli hatuna timu
Walijiamini sana baada ya kuwa na goli 3 ,pia kutokuwemo salah na firminho kumewafanya wajiamini sana na kusahau kutafuta magoli kwa lazima.
 
Leo watayakumbuka yale magoli yawaziwazi waliyokua wanakosa kule camp nou

Hii timu wanataka Messi awafanyie kila kitu atengeneze' afunge .na akiwatengenezea wanakosa vile vile angalia wanamkosesha balondoo
 
Mpe hata jicho alifokonyoe

We unadhani nitaacha kushangilia Barca?

Today Velverde was very predictable ndio maana tumefungwa
Katuletea usenge wa Roma hii mechi Arthur Melo angeanza hili kupossess mpira anaweka Vidal huku si kukariri aisee huyu mwalimu anabahatisha msimu uliopita na Roma hivyo hivyo Leo kafanya usenge ule ule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom