Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Hahah! Celta anamfunga bingwaTayr huku mmeshanyonyolewa
Hahah! Celta anamfunga bingwaTayr huku mmeshanyonyolewa
Wanaitaka uefa hawaHahah! Celta anamfunga bingwa
Ni kweli mkuu.. Ndo maana valverde leo kagawa mech tu sio kwa kikos hichoWanaitaka uefa hawa
Daaaah mkuu mi mechi yoote nimeikosa nipo bushi... Nikirudi itabidi niidownload
Kama ilivo hatari kukutana na Barca Nou Camp akiwa anahitaji ushindi ndo hivo hivo ilivo kukutana nae fainali, ni wabaya sana hawa watu. Unaweza kukutana na timu yenye mixer ya simba, faru, mbogo, viboko, nyegere akiwa na demu wake, nyuki nk ukapata ushindi ila sio kwa hawa jamaa wakishaliona kombe ile wanatoka vyumbani kuingia uwanjaniMimi binafsi naomba Spurs washinde-Hawa Ajax naona wanaweza tibua ndoto ya Barca
Hizi ndio zimekua mechi za Umtiti kweli life halina kanuni
Yaani ni moja na mbili tuuuu
Wakuu hivi huyu Alena huwa mnamtazama kwa jicho la ziada? Namuona atakujakua mchezaji tegemezi hapa Barc siku za mbele
Hili jamaa nalipenda sana, wamwongezee na ka mshahara...
Bila huyu sijui tungemweka nani. View attachment 1090149
leo Arturo atatulia nje, ataanza Arthul, Barca atacheza mpira mwingi sana leo, Liverpool anakufa Anfield.Kwangu Mimi Arturo Vidal ndiye Man of the Match. Ametimiza majukumu yake ipasavyo. Vidal aliletwa Barcelona purposely kwa Mechi kama hizi. Last season tumetolewa na Roma ni kwa sababu alikosekana Mtu kama yeye.
Kocha ameplan vizuri kumuacha Arthur Melo kwa sababu Dogo Bado hawezi fitna na roho mbaya.
Vidal anahitajika Sana next game pale England kukamilisha Kazi yake
semedo akianza mkuu, yule mwehu mane hawezi kutusumbua sana, napendekeza pia arthur kuanza game hii.Kuna mtu alikua anashangilia eti possession Liverpool anaongoza
Nikamuambia yule ndie master Velverde, kuhusu possession sahau sio kigezo sana kwake ,he is so concerned about accuracy na ndio maana hatupigi mashuti golini kwa adui ovyo ,inatakiwa ukipiga goli...no wastage
Salamu ziwaendee Anfield tunakuja kucheza kama match ya kwanza tulipoteza
The same first eleven ila Semedo ataanza