Amini nawaambia Liverpool anakufa kwake Leo goli 3-1
Narudia tena UEFA inarudi Barcelona huu mwaka ,ni wa treble

Kawa watu hawafungi tufanyeje?Na nyie mkubali kufungwa hata kamoja tu
Daah hatari sana
Unitag wakitumaWakuu mwenye link tunaomba bado mapema ili wote tumuone Messi
Mkuu hauna link?Kawa watu hawafungi tufanyeje?
angaikeni na Wakina mr liver ila mjue kombe linabaki nyumbani Ajax amsterdamBarcelona Ndo timu ambayo imeweza kumbadilisha Suares kutoka kwenye utukutu na kua mtu mstaarabu.
Angalia pia Vidal saizi kabadilika mno. Lengo ni kukujibu tu Barcelona Ndo timu inaongoza kucheza mpira wa kistarabu na Wenye burudani
Sent using Jamii Forums mobile app
Siangalii mpira ila natamani game iishe