Police wanazifunga Bar za Barcelona,zilizotangaza free drinks kwa mtu yeyote alievaa jersey ya Barca-jiji Zima lina jersey hizo na nii hatari na kama una jersey imeandikwa Suarez ukishalewa unapewa Uber bure likupeleke kwenu





El classico ina thaman ya mechi zote za ligi, mkuuLeo kafanya poa japo kuna muda alitaka kuharibu. Hata hivyo hatuwezi mjudge mtu kwa kufanya vizuri mechi moja huku karibu zote 9 hajafanya poa.
kweli kabisa,Barcelona kesho kazi-lakini hakuna mtu ataenda kaziniEl classico ina thaman ya mechi zote za ligi, mkuu
Imekaa poa sana hiyo!!!!Police wanazifunga Bar za Barcelona,zilizotangaza free drinks kwa mtu yeyote alievaa jersey ya Barca-jiji Zima lina jersey hizo na nii hatari na kama una jersey imeandikwa Suarez ukishalewa unapewa Uber bure likupeleke kwenu
Nikubaliana nao.....Radio za Spain zasema Dembele akituliza kichwa chake katika final third kama leo na kama anavyofanya J Alba-yeye ndio atakuwa key ya ku unlock defence zote
Pole sana numbisa na Madrid yakoDuh hadi Suarez kapata kampira leo daaah
Pole sana numbisa na Madrid yako
Neymar alifanya kosa kubwaNacheki mechi ya PSG hapa. li Neymar linambwelambwela, Mbappe kaingia dk 2 tu katupia. Wale vijana tumewatandika leo wakimpata huyu mnyama watatisha.
Hongereni Kwa kumfunga bingwa Wa Mara 3 mfululizo na bingwa wa kihistoria(Mara 13) wa champions league .
Hakika mnastahili pongezi Kwa kumfunga bingwa Wa kihistoria wa la liga na club bora ya dunia katika karne ya ishirini.
Hongereni sana barca Kwa kuwafunga club iliyotoa wachezaji bora Kwa miaka 3 mfululizo kuanzia 2016,2017 na 2018
Alba ni mchezaji mzuri sana na ni muhimu sana katika team ya barca,halaf huyo semedo nae yuko vzuri sana.Nikubaliana nao.....
Anaihitaji confo na concentration ya kutosha tu.
Nafkiri yeye ndio midfielder inayopiga pasi nyingi kwasasa tokea xavi aondoke,kuna game mbili zilizopita alipiga pass nying sana.Jamaa ana "talent/talanta" kama siyo "gifted". Yaani flexibility aliyonayo siyo ya dunia hii. Halafu yuko "very calm"....
Neymar hamna kitu siku hiziNacheki mechi ya PSG hapa. li Neymar linambwelambwela, Mbappe kaingia dk 2 tu katupia. Wale vijana tumewatandika leo wakimpata huyu mnyama watatisha.
Nadhani jana umepata jibu Mkuu.Vidal kazi yake nini ..camp nou![]()
Kaka wewe nabii.Tunapoteza sana possession kwenye final third. Rafinha, Suarez na Coutinho wanacheza average sana.
Arthur, Alba na Roberto wako on fire.
Tukitulia wanakula mkono hawa!
Tuma ile GIF.Marcelo kageuzwa na Semedo pale.