FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hongereni Kwa kumfunga bingwa Wa Mara 3 mfululizo na bingwa wa kihistoria(Mara 13) wa champions league .
Hakika mnastahili pongezi Kwa kumfunga bingwa Wa kihistoria wa la liga na club bora ya dunia katika karne ya ishirini.
Hongereni sana barca Kwa kuwafunga club iliyotoa wachezaji bora Kwa miaka 3 mfululizo kuanzia 2016,2017 na 2018


Hit like if you want Lopetegui to stay
 
Hongereni Kwa kumfunga bingwa Wa Mara 3 mfululizo na bingwa wa kihistoria(Mara 13) wa champions league .
Hakika mnastahili pongezi Kwa kumfunga bingwa Wa kihistoria wa la liga na club bora ya dunia katika karne ya ishirini.
Hongereni sana barca Kwa kuwafunga club iliyotoa wachezaji bora Kwa miaka 3 mfululizo kuanzia 2016,2017 na 2018
Madrid is now a shadow of it's own history!

Soon mtakua kama Liverpool.
 
Hongereni Kwa kumfunga bingwa Wa Mara 3 mfululizo na bingwa wa kihistoria(Mara 13) wa champions league .
Hakika mnastahili pongezi Kwa kumfunga bingwa Wa kihistoria wa la liga na club bora ya dunia katika karne ya ishirini.
Hongereni sana barca Kwa kuwafunga club iliyotoa wachezaji bora Kwa miaka 3 mfululizo kuanzia 2016,2017 na 2018
Angalia record za El clasico ndo utajua nani mbambe hao ma giant wa dunia wanapokutana
 
Hongereni Kwa kumfunga bingwa Wa Mara 3 mfululizo na bingwa wa kihistoria(Mara 13) wa champions league .
Hakika mnastahili pongezi Kwa kumfunga bingwa Wa kihistoria wa la liga na club bora ya dunia katika karne ya ishirini.
Hongereni sana barca Kwa kuwafunga club iliyotoa wachezaji bora Kwa miaka 3 mfululizo kuanzia 2016,2017 na 2018
Madrid imetoa wachezaji bora wapi? Wote waliowika apo ni ready made ...

Hata hivyo hongera kwa kujifariji...
 
Hongereni Kwa kumfunga bingwa Wa Mara 3 mfululizo na bingwa wa kihistoria(Mara 13) wa champions league .
Hakika mnastahili pongezi Kwa kumfunga bingwa Wa kihistoria wa la liga na club bora ya dunia katika karne ya ishirini.
Hongereni sana barca Kwa kuwafunga club iliyotoa wachezaji bora Kwa miaka 3 mfululizo kuanzia 2016,2017 na 2018
upo sahihi mkuu real madrid ndio wababe wa soka duniani kwa ngazi ya klabu kwa miaka 3 mfululizo lakini pia na wewe unapaswa ukubali ya kwamba barcelona ndiye mbabe wa real madrid kwa miaka 10 hii.
rudi tena ukaangalie takwimu zenye kuwakutanisha wababe hao wawili.
kwenye miaka 10 hii real madrid ameshafungwa mara mbili magoli 5 na bila ya kusahau aliondoka uwanjani na kapu lenye magoli 6. kama ni mshabiki wa real madrid basi unapaswa uonyeshe heshima kubwa sana unapoijadili barcelona.

kwa jinsi defence yenu ilivyokuwa inakatika ovyo kama wachezaji wa ngoma ya baikoko siku ya jana laiti kama angelikuwepo mungu wa mpira ndani ya uwanja usingelikuwa na nguvu ya kuja kuandika comment yako humu ndani.

anakusalimia sergio roberto, eti baada ya mechi kumalizika sergio alimuuliza valverde hivi mechi ya el classico tunacheza lini tena?
1540806115743.png

https://fussball.wettpoint.com/en/h2h/757-747.html
 
Hongereni Kwa kumfunga bingwa Wa Mara 3 mfululizo na bingwa wa kihistoria(Mara 13) wa champions league .
Hakika mnastahili pongezi Kwa kumfunga bingwa Wa kihistoria wa la liga na club bora ya dunia katika karne ya ishirini.
Hongereni sana barca Kwa kuwafunga club iliyotoa wachezaji bora Kwa miaka 3 mfululizo kuanzia 2016,2017 na 2018
Bado Round ya pili Mkuu. Urudi kutoa pongezi hivyo hivyo. Ahsante kwa pongezi hizo...
 
Yaani kifupi ni kwamba,
Vijana wa La-masia hufundishwa na kupandikizwa uzalendo kuhusu "Kuipenda na kuitumikia kilabu kwa moyo wote".

Hiyo ni moja ya maeneo ambayo hutiliwa mkazo sana kwa vijana wawapo kituoni-Lamasia. Kwa kijana aliyeiva vizuri ktk kila nyanja (mpira na kisaikolojia/kimawazo/kifikira) huwaza kuitumikia klabu moja tu ktk maisha yake ya soka la kulipwa yaani huwaza kuchezea Barcelona tu.

Baadhi ya mifano ya wachezaji waliopitia La-masia na kuiva 100% ni pamoja na Xavi6, Iniesta8, Messi10, nk. Ikumbukwe kuwa wakati Iniesta8 anaondoka msimu huu aliwaambia waandishi wa Habari kuwa "ktk maisha yake hatachezea timu yoyote Ulaya kwa 7bu hataki kuona hata siku 1 anacheza dhidi ya Barcelona (klabu yake ya zamani)".

Sasa, unaweza kuona ni Upendo/uzalendo wa aina gani aliokuwa nao juu ya Barcelona. Pia, hata Mfalme wa Mpira duniani/King Messi10 naimani kuwa atastafia hapo hapo.

Kabisa Mkuu, unajua hawa vijana wa La Masia huwa wana hasira kali saana na Madrid.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom