FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Wengi tulitia shaka sana juu ya huyu Arthur Melo. Mara mzito, mara sijui hafiti kwenye mfumo wa Barca, yaani 7bu kibao!!! Games zote alizocheza kasimama imara.

Kifupi ni bonge la Midfielder, walifanya vizuri sana kumchukua baada ya Iniesta na Paulihno kuondoka. Ilikuwa aje mwakani, 2019 lakini baada ya kuona Iniesta na Paulihno wamesepa uongozi ukaomba aje mwaka huu badala ya 2019.
Ni kweli mkuu mwanzoni alikuwa mzito flani hivi lkn saizi yupo kwenye njia
 
Nillisema hapa tukitulia wanakula mkono, and that's what they got!


Tumeanza kipindi cha pili vibaya sana mpaka wakapata goli, ila substitutions zimebadili mchezo.

Sergi Roberto is the man of the match kwa upande wangu, he was every where doing everything!

He literary owned the midfield keeping Modric in his pocket!

Huyu Semedo sitaki kumuongelea sana, maana kamchana mtu msamba kama wa Amber Ruty alafu akasepa kama sio yeye!



Dembele amecheza poa sana na amepika magoli mawili, that's more than enough!

Back to ticki tacka, the last 25 minutes were occupied by romantic football, i almost climaxed!

Hebu king aendelee kupumzika, kazi yake kutupatia UEFA!

This is Barca!
Amber ruty....

Pale Semedo alicheza akili sana
 
Safi sana...nasema hivi safi sanaaa....NUMBISA my dada mwanzo wewe nilijuwa ni MAN kumbe ni KE... aise porrrrrreni sanaa..next game itakuwa March na king inshaalah atakuwepo mammae...
 
Huyu Lupetegue alikua anafundisha netball ati?
Alot of spaces kwenye defence yake Messi angemuumbua sana leo huyu na naenda kumuombea asifukuzwe tukutane nae next El Classico


#Hash_tag
Sikutambua kama Lupetegui atafukuzwa mapema kabla ya Mourinho
Watalia na Kusaga meno huko huko kwao Mkuu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom