Coutinho anaooteza sana mpiraTunapoteza sana possession kwenye final third. Rafinha, Suarez na Coutinho wanacheza average sana.
Arthur, Alba na Roberto wako on fire.
Tukitulia wanakula mkono hawa!
Tatizo mapenzi yako mkuumwambieni refa wenu malipo ni hapahapa
Siyo mbaya mkuu. Timu imejaza natural Midfielders watupu. Rafinha na Coutinho. Ni kama tuna viungo watano. Ndiyo maana umiliki wetu unatisha japo ndiyo hivyo tunasacrifice kule mbele.Tunapoteza sana possession kwenye final third. Rafinha, Suarez na Coutinho wanacheza average sana.
Arthur, Alba na Roberto wako on fire.
Tukitulia wanakula mkono hawa!
SureOyo oyo.. goli 2 za kipindi cha kwanza sijaridhika nazo we werw supposed to score atleast 3 goals just killing the game
naona unabana matumizi
Wanawapa nguvu adui ambaye alishajifia marehemuMarcelo ndiyo striker wao!!!!
mi ningemtoa Suarez nakumpa na ban ya mechi kadhaa.Inabidi Rafinha atoke sasa
Hapana, pia Melo inabidi atokemi ningemtoa Suarez nakumpa na ban ya mechi kadhaa.