Wakati hiyo nafasi dembele anacheza poa tena sometimes anadefend vizuri. Hapa ndo namshangaa valverde!Leo Coutinho hajafanya chochote cha maana kwa sababu kacheza winger ambayo hajazoea.
Hayo maarifa sujui yatatokea pande zipi maana duuh....!Siyo mbaya wakuu. Japo hawa jamaa ilitakiwa tuwatafune. Liverpool fanyeni maarifa jamani.
Naona hiyo 4G imehamia kwenu Yanga, poleni sana wanayanga.Madrid madrid be scared be scared Barcelona inakuja kushusha kipigo cha mwaka na chakuaibisha ,sijawahi kukosea utabiri wa El-classico,Laliga sio UEFA ambayo mna rob
Madrid atakufa goli 4-0 pale Camp Nou kesho mark my word
View attachment 766826
Wewe size yako ni village champion league aka la liga .kule UCL kuna wenyewe no wonder umeishia robo fainali misimu mitatu mfululizo wakati wenzako wanachukua kombe hilohilo misimu 3 mfululizoAnyways we still invincible game no 42
Tutamaliza league bila kufungwa our focus is UEFA next year
We ni mshamba nani amekuambia kama UEFA ndio kipimo cha ubora wa team?laliga uko nafasi ya 3,Sevilla ilifika robo iko nafasi ya 8 ,Liverpool nafasi ya 3Wewe size yako ni village champion league aka la liga .kule UCL kuna wenyewe no wonder umeishia robo fainali misimu mitatu mfululizo wakati wenzako wanachukua kombe hilohilo misimu 3 mfululizo
Mpira ni mchezo wa makosa. Hakunaga magoli ya kubahatisha. Ukifungwa ujue ulifanya makosa. Stop those nonsense of kubahatisha sijui kuvizia.Za kufizia fizia na kubahatisha, ukiona hivo kiwango cha kuvizia goli huwaga kiko juu kanapocheza uefa. Ndo maana.
So you wish even pope to die because of your football motives.? Ooh pope have a long life.I wish history rewrite itself once more.View attachment 768413
Teeh...Leo tunamchinja 4
My prediction
Barca 4-0 Nyonyo
Naunga hoja mkono tena me nimepata prediction ya Barcelona 5-Madrid 0
Bhwaaah...Leo mkonojamani au vipi 5-0.... sema yeeeeah!!
![]()
![]()
![]()
![]()
go barca go..

Nimejaribu kutafakari ila sioni kama Madrid wanaweza pata japo kigoli kimoja cha Penalty
Coutinho atawasumbua saana Madrid
Messi anaondoka na mpira
Barcelona leo tukimkosakosa Madrid basi ni 3 :0
Sure...we have no justification on that...Barcelona si team kupambana kubeba la liga ..kwetu la liga ni Maji ya kunywa..we need more energy kwenye kampen ya kuchukua uefa..tangu nifungwe na Roma kwa aibu sina ham ya kuangalia mech za mpira mpaka world cup!Mpira ni mchezo wa makosa. Hakunaga magoli ya kubahatisha. Ukifungwa ujue ulifanya makosa. Stop those nonsense of kubahatisha sijui kuvizia.
Wale Liverpool nilio waona wanakimbia kimbia tu Jana ile ndio wamfunge real fainali?Siyo mbaya wakuu. Japo hawa jamaa ilitakiwa tuwatafune. Liverpool fanyeni maarifa jamani.
Tulia mkuuBhwaaah...![]()
![]()
![]()
Bhwaaah...![]()
![]()
![]()
Barcelona wakiwafunga Madrid Mods nipigeni Ban...Madrid hawawezi kufungwa na timu mbovu kama Barcelona