Sasa Dada angu mtu anapigwa ngwala Messi anapewa assist anafunga na kushangilia kweli kweli ahaaa ila Madrid sio watu wa kulalamika Sana tunaendelea kufanya mazoezi ya champions league finalMessi is another jamani khaaa anajituma mpka unatamani uingie kwenye Tv umpe assist hahaha!!! Barca Wanajitahidi sana japo wanacheza pungufu watulie tu mechi yao hii....
Hahahaha hujaumia?waakuu tuminye
Tatizo Valdeve sijui akili yake inawaza niniSemedo na Paulinho walitakiwa kuanza nilishasema mwanzo
Velverde yuko very reactive than being pro-active that's why hata Roma walitufunga na game akitokea nyuma ana % kubwa za kushindaValdeve anazingua sana
Anapenda kucheza michezo ya kujilinda kuliko kushambulia sana ndiyo maana roma wakatukamataVelverde yuko very reactive than being pro-active that's why hata Roma walitufunga na game akitokea nyuma ana % kubwa za kushinda