FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Madrid madrid be scared be scared Barcelona inakuja kushusha kipigo cha mwaka na chakuaibisha ,sijawahi kukosea utabiri wa El-classico,Laliga sio UEFA ambayo mna rob
Madrid atakufa goli 4-0 pale Camp Nou kesho mark my word
View attachment 766826
Wivu ni Kitu kibaya masikini hawezi kuwa tajiri kwa kuchukia matajiri." Ati mna rob" hata aibu hauoni wewe Roma kakutoa,juve alikunyoa season iliyopita uwezo wa team yako unaishia laliga kiufupi wewe ni village champions ,team inatoa bingwa wa ufaransa, bingwa wa italy ,bingwa wa German ati mna rob, wewe ulimtoa bingwa wa england mchovu ambae season hii hata Top four hayupo .Barça ni village champions
 
Aliwahi kupewa standing ovation pale bernabeu
Screenshot_20180506-084356.jpg
 
Mniambie mashabiki wa Messi kwa nini hamumuheshim Ronaldo?

Anyway this is about Iniesta namuheshim sanaa. Hata Bernabeu tuliwahi mpa standing ovation
Sio hatumuheshimu, Lakini hawezi kupewa heshima ka aliyopewa Iniesta na wana Madrid, kwa sababu hana mpira wa ladha ni sawa na Suarez.
Angalia mechi dhidi ya Bayern alivyocheza pembeni alikua anadhurula tu. Ukishindwa kufunga Fanya basi hata assist.
 
Hahaha
Angalia ukweli Dembelw ni aina ya wachezaji wa Chelsea siyo barcelona mchezaji gani wa barca hana unyumbufu kabsa
Hahahaa! No man kwa yule bado sanaa
Dogo ana kazi ya kuadopt mfumo wa Barcelona. Kwa vile ni Mdg anaweza kujifunza akikubali kushuka na kuanza kuadopt
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Wivu ni Kitu kibaya masikini hawezi kuwa tajiri kwa kuchukia matajiri." Ati mna rob" hata aibu hauoni wewe Roma kakutoa,juve alikunyoa season iliyopita uwezo wa team yako unaishia laliga kiufupi wewe ni village champions ,team inatoa bingwa wa ufaransa, bingwa wa italy ,bingwa wa German ati mna rob, wewe ulimtoa bingwa wa england mchovu ambae season hii hata Top four hayupo .Barça ni village champions
Yani nyie mnajificha kwenye kivuli cha UCL ila mtakapofungwa na Liver ndo mtajua msimu huu mmeharibu.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Akubali kufundishika asijione superstar.
Dembele ni mchezaji mzri sana na kwa umri wake atatusaidia sana Barca lakini lazima akubali kuadopt mfumo wa barca
Ila kocha anatakiwa kumpa muda mwingi ili awe na confidence mkuu
 
Siku ya leo yule mchana suruali hawezi isahau katika maisha yake
 
Barcelona leo tukimkosakosa Madrid basi ni 3 :0
 
Nimejaribu kutafakari ila sioni kama Madrid wanaweza pata japo kigoli kimoja cha Penalty
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom