FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Tajiri mmoja Spain amwaahidi Barca atawapa Euro million 5 kama watafikisha goal 100.Barca wanahitaji goal 9 katika match 3 zilizobaki. Velverde amefahamishwa na board kwamba hii hela lazima ipatikane hata ikiwezekana apange striker watupu.Inasemekana huyo tajiri amebet Barca kupata goal 100 na he stands to win Euro million 15.
Bado 4 goals in 2 games-Barca are just awesome
 
Tajiri mmoja Spain amwaahidi Barca atawapa Euro million 5 kama watafikisha goal 100.Barca wanahitaji goal 9 katika match 3 zilizobaki. Velverde amefahamishwa na board kwamba hii hela lazima ipatikane hata ikiwezekana apange striker watupu.Inasemekana huyo tajiri amebet Barca kupata goal 100 na he stands to win Euro million 15.
Leo tumepiga . katika game 2 silizosalia tunahitaji kupiga tu. Huyo tajiri azipeleke tu benki maana namna nyingine...
 
Baada ya kukosa namba kikosi cha kwanza licha ya kununuliwa kwa bei mbaya, Jurgen Klopp amemuita Ousmane Dembele katika kikosi cha Liverpool.

Dembele alijiunga na Barcelona kwa Pauni95 milioni, lakini ameshindwa kuvaa viatu vya Neymar aliyetimkia Paris Saint Germain (PSG).

Klopp anamtaja mshambuliaji huyo wa zamani wa Borussia Dortmund ni mchezaji mwenye kiwango bora anayestahili kucheza Liverpool.

Dembele aliyepata maumivu ya misuli iliyomuweka nje uwanja muda mrefu, hajarejea katika kiwango chake.

Dembele mwenye miaka 20, ameshindwa kuendana na aina ya mfumo wa Barcelona tangu alipotua Now Camp katika usajili wa majira ya kiangazi.

Kocha huyo wa Liverpool anataka kumsajili Dembele kuboresha safu ya ushambuliaji.

“Dembele kwani yupo sokoni? Ndio ninamtaka,”alisema kocha huyo aliyewahi kuifundisha Dortmund.

Mchezaji huyo anakabiliwa na mazingira magumu Barcelona, baada ya kucheza mechi moja ya ligi kwa dakika zote licha ya kuanza katika michezo tisa akiwa amefunga bao moja.

Barcelona imeanza mkakati wa kumsajili mshambuliaji wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann majira ya kiangazi
Leo kapiga Mkuu.
 
Hua siwaelewi watu wa aina yako.

Neymar anacheza left wing, Dembele anacheza right wing, Coutinho ni midfielder.

Sasa sijui hua mnafikiria nini kusema Dembele au Coutinho wameletwa kuziba pengo la Neymar!

Dembele na Coutinho wamekuja kwa sababu Barca ina mapungufu maeneo hayo ya midfield na wing ya kulia.

Pengo la neymar bado halijazibwa, ndio maana wing yetu ya kushoto bado haina uhai.
Point sana Mkuu. Neymar akafie mbali 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom