FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,361
Kwanini usingeanza kujitaja wewe kwanza kwenye list hiyo? Acha uongo wako, game zote 2 uefa mmebebwa dhidi ya Bayern. Mbereko ndiyo imewafikisha hapo mlipo.Wivu ni Kitu kibaya masikini hawezi kuwa tajiri kwa kuchukia matajiri." Ati mna rob" hata aibu hauoni wewe Roma kakutoa,juve alikunyoa season iliyopita uwezo wa team yako unaishia laliga kiufupi wewe ni village champions ,team inatoa bingwa wa ufaransa, bingwa wa italy ,bingwa wa German ati mna rob, wewe ulimtoa bingwa wa england mchovu ambae season hii hata Top four hayupo .Barça ni village champions
Kifupi subiri kipigo cha mbwa Mwizi leo. Hujakaa sawa tarehe 26 kipigo kingine kinakuhusu. Msimu huu huna kikombeee hata chembe, *****....