umeme tayari hukoMhhh!! bora half time maana mechi ilianza kuharibika ikawa mieleka sasa nyekundu ilikuwa inanukia upande wowote.
Ushindwe na ulegeeeepale kwenye zero panawekwa moja leo
pale kwenye msimamo wa ligi
basi tena. kikosi kilikuwa kikp hovyo toka mwanzo. kungekuwa na Dembele na Semedo toka. mwanzo, haikuwa lazima Coutinho acheze. Hawi vizuri winger ya kulia.Atoke nani aingie nani mkuu
jama walikuwa wamewafrustrate kwa kupaki basi.Sasa Barcelona kilichowafanya wapanic ni nini?
Madorido mbona hata hawajapaki bus mkuujama walikuwa wamewafrustrate kwa kupaki basi.
Me pia wamenishangaza sanavillage champions mpira sio vita Madrid anafanya mazoezi tu Hakuna ulazima wa kupaniki, namuona king wenu nae kapaniki bila sababu na kurukia Ramos. Ngoja nivutenile taratibu.....
Vipi bado unaamini ahadi yakoBarcelona wakiwafunga Madrid Mods nipigeni Ban...Madrid hawawezi kufungwa na timu mbovu kama Barcelona