FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Haya matokeo ya kina Iceman 3D yamekuwa mazuri sana. tuko point 11 kileleni na wao leo wanaingia nafasi ya nne Rasmi. Hivi mtu wa nne si UEFA anapita mlango wa nyuma? Kuna mtu atakosa next UCL🙂🙂🙂
 
unapimaje ubora?
Nikuulize swali, unajua Santos ilikuwa inakiwango gani?
Kwa mujibu wa UEFA ni ligi gani bora ulaya? jibu swali Pele alicheza Santos kwa muda gani? hizi chenga za maneno hazitakusaidia.
 
Kwa mujibu wa UEFA ni ligi gani bora ulaya? jibu swali Pele alicheza Santos kwa muda gani? hizi chenga za maneno hazitakusaidia.
Unajua UEFA wanatumia vigezo gani?
Kuna aina za majibu moja wapo ni jibu kwa swali
Unajua Santos ilikuwa miwango gani kwa wakati huo?
 
Wajinga wamevutana point wakaongeza gap na Barcelona mbio za ubingwa nyeupe....ha ha ha
Bingwa wa laliga tangu msimu umeanza finally kombe linarudi nyumbani kwake ndani ya miaka 11 ;kombe la laliga Santender linaingia vumbi camp mara 8 hii ni dominance tena total dominance
 
Kubabake wiki mbaya sana hii kwangu ngoja nijipoze na Barcelona yangu.

Thank you Messi for made my day jana.
Pole mkuu lakini naamini ule upande wa pili kikombe ni cha kwako hata wakikichelewesha vipi EPL imeshatua ndani ya viunga vya city Manchester
 
Mwambie Messi aende uingereza akachukue uchezaji bora kule mara mbili mfululizo

Mi sijawahi kumlazimisha Messi amfunge Buffon ninacho jua alikuwa anashindwa kumfunga yeye mwenyewe alikiwa anajua hilo. Sasa ujinga uko wap hapo?
Sasa Uingereza ni ligi? Ukitaka kujua uingereza ni ligi mbove Review vikosi vya FIFA vya miaka mitatu iliyopita unakuta wachezaji waliopo asilimia tisini wanatoka La Liga. Afu jiulize nani anaweza kumkaribia Messi anaecheza EPL ili labda amzuie asichukua mchezaji bora Epl . Unasema Ronaldo kachukua mchezaji Mara mbili mfululizo EPL. Jibu simple alikutana na wabovu mana hata vipofu wana viongozi wao. Jiulize kwa nini ajachukua Mara zote Laliga? Kwa sababu kuna wanaojua kuliko yeye.
Ukweli Ronaldo ni mzuri kwenye kufunga lakn utofauti na messi ni pale Madrid wakiwa wabovu Ronaldo nae anakua mbovu ukitaka kuthibitisha ilo angalia mwanzo wa msimu huu Ronaldo alikua hafungi kwa sababu timu nzima ilipotea. Lakn Messi timu ikipotea yeye anakua bora. Review mechi zdi ya Sevila na mechi ya mwisho akiwa na Argentina kwenye kufuzu WC.
 
Eeh yako mengi ila hayako Mengi kama magoli ya kichwa au ya stail zengine kwa kuwa ni special goals
Ndio maana umeona tunalifurahia

Uwanja mzima wa Turin uli appriciate kwa kumpigia makofi Cr 7 sasa wewe uko bongo hapa utaanzaje kuli diss goli kali kama lile bhana. Ndio hisia nnazo sema hizo.
wewe ndo ulitoka nje ya mada! Nani alikuwa anazungumzia goli la baiskel hapa? wewe ndio unaleta hisia ambazo hazikuhitajika kwenye mada. Hoja ilikuwa ubovu wa Chelsea/Buffon kufungwa na fundi.

Tumekuuliza maswali umeshindwa kuyajibu! Mfano, Je! wakati Messi10 anapowafunga (madridiots) huwa niwabovu kama Chelsea/Buffon???

Acha ushabiki wako usiokuwa na hoja za msingi!!!!
 
Aende EPL la liga tusha muona
Kwa wachezaji wenye viwango hawawezi kwenda Epl. Angalia saizi eti Man u wanamtaka Bale wakt La Liga bale amaanza kua useless. Akina Ronaldo. Pique , Modric, Bale nk walitoka kwenye ligi mbovu wakaenda kwenye Ligi bora. Saizi wanafikria walirudi EPL ili wakamalizie mpira
Afu kingne dabi kubwa ipo kwenye Ligi kubwa El Classico dunia inasimama lakn vidabi vya uingereza mnakua mnajua wenyewe wenye EPL yenu.
 
Mwambie Messi aende uingereza akachukue uchezaji bora kule mara mbili mfululizo

Mi sijawahi kumlazimisha Messi amfunge Buffon ninacho jua alikuwa anashindwa kumfunga yeye mwenyewe alikiwa anajua hilo. Sasa ujinga uko wap hapo?
wewe hujui mpira ? Yaani fundi ana vikombe vinalingana na umri wake alafu wewe unasema aende sijui wapi akachukue uchezaji bora? wakati ana mipira 5 ya dhahabu kabatini. Anaviatu vinne (4) vya dhahabu kabatini.

Unataka akachukue uchazaji bora wa aina gani tena???? Acha mawazo mgando Wewe.
 
Kwenda si lazima Demand ni kuamua tuu
Mwenzie Neymar aliamua aka ondoka. Ni yeye mwenyewe tu mmwambie aende.
Bora umemtaja Neymar, maswali:-

1.Ameshakuwa mchezaji bora mara ngapi hadi sasa baada ya kuhama?

2.Ana goli ngapi hadi sasa?

Hata Cavani tu kashindwa kumfikia!!! eti anakimbia kivuli cha Fundi (hahahaaaa).

Anashindwa kujua kwamba kivuli cha fundi hakikimbiwi unless ubadili football carrier ukacheze tennis/basketball.

Ukweli ni kwamba siyo lazima uhame hame vilabu ndiyo uwe bora, wangapi wamehahama? Kama kuhamahama kingekuwa kigezo cha kuwa mchezaji bora basi wote waliowahi kuhama klabu 1 kwenda nyingine wangekuwa wachezaji bora wa dunia.

Achana na hisia na mawazo yako potofu kijana!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom