FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Basi hizo nazo nimekupa facts HATRICK + FREECKICK ELCLASICO

Sio aishie kuwapiga kina girona
Haya mwambie na Messi akacheze EPL achukue makombe yote ya huko.

Mwambie Messi amfikie Cr 7 kwenye hattrick za jumla.
Mwambie Messi achukue UCL back to back
Mwambie Messi amkute Cr 7 kwenye magoli ya UCL

Tukienda hivo hatuta fanya reasoning mjomba
 
Haya mwambie na Messi akacheze EPL achukue makombe yote ya huko.

Mwambie Messi amfikie Cr 7 kwenye hattrick za jumla.
Mwambie Messi achukue UCL back to back
Mwambie Messi amkute Cr 7 kwenye magoli ya UCL

Tukienda hivo hatuta fanya reasoning mjomba
Mwambie cr7 awe mchezaji bora WC

mbona nyie mlikuwa mnamlazimisha messi amfunge Buffon kama sio ujinga ni nini?
 
Mwambie cr7 awe mchezaji bora WC

mbona nyie mlikuwa mnamlazimisha messi amfunge Buffon kama sio ujinga ni nini?
Mwambie Messi aende uingereza akachukue uchezaji bora kule mara mbili mfululizo

Mi sijawahi kumlazimisha Messi amfunge Buffon ninacho jua alikuwa anashindwa kumfunga yeye mwenyewe alikiwa anajua hilo. Sasa ujinga uko wap hapo?
 
Mwambie Messi aende uingereza akachukue uchezaji bora kule mara mbili mfululizo

Mi sijawahi kumlazimisha Messi amfunge Buffon ninacho jua alikuwa anashindwa kumfunga yeye mwenyewe alikiwa anajua hilo. Sasa ujinga uko wap hapo?
Nimwambie aende wakati hamna team ina full fill his demand mnunue wewe basi uone kama hachukui EPL
 
Amefikisha mangapi mkuu? maana mlisema atampita Messi, sasa sijui unashindana vipi na alien!
Mbona mnapenda kunisingizia mi sjawahi sema Ronaldo ata mpita Messi.
Na hata walio sema hebu muwavumilie at least hadi ligi iishe basi wakuu.
Kumbuka kuwa Ronaldo kacgeza mechi chache pia
 
Nimwambie aende wakati hamna team ina full fill his demand mnunue wewe basi uone kama hachukui EPL
Kwenda si lazima Demand ni kuamua tuu
Mwenzie Neymar aliamua aka ondoka. Ni yeye mwenyewe tu mmwambie aende.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom