FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Games zijazo ktk La Liga,

Barca vs Valencia

Celta Vigo Vs Barca

Barca vs Villarreal

Deportivo Vs Barca

Barca Vs Real Madrid

Levante Vs Barca

Barca Vs Sociedad





Sent from my SHV-E330K using JamiiForums mobile app
Tukiweza kushinda au draw dhidi ya Valencia, Celta na Real Madrdi. Then naami i itakuwa rahisi kuwa invincibles kwa La Liga 17/18

Sent from my SHV-E330K using JamiiForums mobile app
 
ninavyompenda lionel messi ni kwamba hana muda wa kupigishana kelele na vyombo vya habari, sijawahi kumsikia akijisifu kama yeye ni mchezaji bora duniani na hakuna aliyewahi kutokezea kama yeye.
hahahahahahaa ukimaliza mpira anakwenda kwenye kijumba chake cha udongo anajifungia ndani na watoto wake.
goli hili alilofunga messi kama nafasi hii anaipata romelu lukaku basi atamgongesha kipa.
madrid wanasema leganese ni timu dhaifu lakini wanasahau ya kwamba ndio timu iliowatoa kwenye michuano ya kombe la mfalme.
DaNTfR2XkAAku3A.jpg:large


Real Madrid News: Leganes make history by dumping Los Blancos from the Copa del Rey | Goal.com
 
ninavyompenda lionel messi ni kwamba hana muda wa kupigishana kelele na vyombo vya habari, sijawahi kumsikia akijisifu kama yeye ni mchezaji bora duniani na hakuna aliyewahi kutokezea kama yeye.
hahahahahahaa ukimaliza mpira anakwenda kwenye kijumba chake cha udongo anajifungia ndani na watoto wake.
goli hili alilofunga messi kama nafasi hii anaipata romelu lukaku basi atamgongesha kipa.
madrid wanasema leganese ni timu dhaifu lakini wanasahau ya kwamba ndio timu iliowatoa kwenye michuano ya kombe la mfalme.
DaNTfR2XkAAku3A.jpg:large


Real Madrid News: Leganes make history by dumping Los Blancos from the Copa del Rey | Goal.com
Thats him upande wa pili bila media hamna kitu kabisa...Tick taka hata mimi mtaani huku napiga
 
ninavyompenda lionel messi ni kwamba hana muda wa kupigishana kelele na vyombo vya habari, sijawahi kumsikia akijisifu kama yeye ni mchezaji bora duniani na hakuna aliyewahi kutokezea kama yeye.
hahahahahahaa ukimaliza mpira anakwenda kwenye kijumba chake cha udongo anajifungia ndani na watoto wake.
goli hili alilofunga messi kama nafasi hii anaipata romelu lukaku basi atamgongesha kipa.
madrid wanasema leganese ni timu dhaifu lakini wanasahau ya kwamba ndio timu iliowatoa kwenye michuano ya kombe la mfalme.
DaNTfR2XkAAku3A.jpg:large


Real Madrid News: Leganes make history by dumping Los Blancos from the Copa del Rey | Goal.com
wanasahau kwamba Messi10 ni kawaida yake kufanya maajabu dhidi ya mpinzani yoyote uwanjani.

Wako wapi waliokuwa wanaimba kama wimbo wa taifa kwamba "eti Oooh Messi10 hajawahi kuwafunga Chelsea, pia hajawahi kumfunga Buffon ambae ni 1 ya golikipa bora duniani".

Kifupi hakuna kitu ambacho bado hajafanya ndani ya uwanja. Unaweza kumkataa Messi10 kwa mdomo na kulopoka tu lakini Moyo na roho yako inakusuta kwamba Messi10 ndiyo mchezaji bora kuwahi tokea ktk sayari hii.
 
wanasahau kwamba Messi10 ni kawaida yake kufanya maajabu dhidi ya mpinzani yoyote uwanjani.

Wako wapi waliokuwa wanaimba kama wimbo wa taifa kwamba "eti Oooh Messi10 hajawahi kuwafunga Chelsea, pia hajawahi kumfunga Buffon ambae ni 1 ya golikipa bora duniani".

Kifupi hakuna kitu ambacho bado hajafanya ndani ya uwanja. Unaweza kumkataa Messi10 kwa mdomo na kulopoka tu lakini Moyo na roho yako inakusuta kwamba Messi10 ndiyo mchezaji bora kuwahi tokea ktk sayari hii.
Siku hizi wameanza kusema hajawahi kuwafunga Everton wala Watford -Haters be like that
 
Magazeti ya Catalunya yanasema Dembele inabidi apewe more playing time ili confidence yake iongezeke- kwa sasa akipata mpira anatafuta kutoa pass tu-kwa speed na control aliyonayo anatakiwa awe ndio end product wa kuonana face to face na goalie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom