Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
HahahahYani wewe jamaa ni mbishi sijapata kuona. Magoli ya Messi yaliyoenda shule yenye akili nyingi utalinganisha na magoli ya waotea nyavu na mapenalti kibao...kwanza huyo babu yako pele tumeshamjadili sana humu na magoli yake yanajulikana mengine ya vichochoroni..so hakuna sababu ya kwendelea kumjadili.
Messi kawahi kufunga magoli safi kavsa sijawahi kataa. Lakini haiondoi thamani ya magoli ya walio piga penalt ndio point yangu hiyo.
Pele angefunga goli hata 1 la vichochoroni FIFA isinge litambua, kama ambavyo ilifanya kwa Romario
