Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
Unaharibu mkuu, discussion za mchezo hazitak panicing. Nilikuwa nakusahihisha kitu ambacho ulikosea. Hisia zako zinakutuma yeye ndio mchezaji bora, ila si lazima wote tuseme hivo na si kweli ni hisia tuu.Huo ni mtazamo wako. Usitake kutulazimisha wote tuwe na mtazamo wa mlengo wa ki feki feki. Hayo kawalopokee kwenye Uzi wenu huko.
Soka ilianza kuchezwa mwaka 270 BC, huwezi form no where ukasema Messi ndio bora kwa time yote.wakat umeazaliwa mwaka 1990 or 80 or 70 unatumia hisia tu hapo.
