klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,147
hehehe dah aisee mkuu TB nimecheka kwa laudi speaker.hii nyimbo na ile dua ya kloro...sipati picha lol
Huwezi jua mipango ya mungu aisee!
hehehe dah aisee mkuu TB nimecheka kwa laudi speaker.hii nyimbo na ile dua ya kloro...sipati picha lol
mkuu kloro.....
Kwa mujibu wa majibu haya....hata la kununua gunia la mkaa linahusika hapa...
Ndio mahaba yenyewe lol
Kisha mmechunguza mwanamme wa Tanzania anaedekesha sana mkewe watu wakamuona anaitwa 'zoba'
p(^_^)q
Lol naona pasinipite....................Shemeji mwanamke mwenye kijiaibu ndo anakuwaje? Anaruhusiwa naye kuwa mtundu kidogo wakati wa ,Njenje, au ataonekana mcharuko? Hebu nijibu haraka nisije nikaachika shemeji yako nikafa kwa njaa!
sasa The Boss si tayari amekwambia gunia la mkaanataka nyie mnaojifanya wa zamani (mtoa mada akiwemo) mseme zamani mlionyeshaje mahaba?
Aaawww Bee thanks :]
You go girl put your romance on fyah !
hilo limejivika vazi ndo maana....
Hivi wewe bosi gunia la mkaa na kuku hai vinaongezaje mahaba? Hapo hata hakuna cha uzungu wala uafrika bana, hebu nieleze nielewe
.....jamani hamjanielewa....
being ROMANTIC maana yake nini?
.....mnaposikia mtu anasemwa bwana fulani ana mahaba, mnaposikia nyimbo mahaba ya dhati, mnaposikia sifa mahaba ya pwani...
being romantic ni wingi wa mahaba....mnalikuza sana hilo neno romance/romantic kwakuwa lipokwenye "lugha ya kigeni" basi litapambwa na kutiwa nakshi lionekane zuri...
tujiulize sie wanaume wa kitanzania na mahaba? mimi siwezi wajibia wenzangu...kila mtu na malezi yake... mahaba yanatafsirika baina ya mtu na mtu....nitayaomfanyia mwenza wangu tangia tunaamka, mfano kumpa busu, kumtengenezea chai na kumletea kitandani....na kumdeleza kwingi kwinginevyo siku nzima kama ni mwelewa, atanitafsirije?.....nawaachia nyie mjibu kwa tafsiri zenu...
being romantic/mwingi wa mahaba hakuhusiani kabisa na sex!!!
tusichanganye haya mambo mawili.
sasa The Boss si tayari amekwambia gunia la mkaa
hapa kloro anaweza saidia kutengeneza the best romantic picture itakavyokuwa lol
nakupa mfano......
Wewe bee ndo wife wangu....umekaa kibarazani unapiga story na wenzio...
Mimi nakuja kwa mbaali...kulia nimeshika kuku na kushoto kuku...wanalia lia...
Unaniona.....unawaambia watoto...kampokeeni baba enu nyi watoto...lol
watoto wanakuja huku wanaimba 'baaba kaleta kuukuu...'majirani wanakuonea wivu.....
Hiyo sio romantic?????? Kumbe je????????lol
hapa kloro anaweza saidia kutengeneza the best romantic picture itakavyokuwa lol
nakupa mfano......
Wewe bee ndo wife wangu....umekaa kibarazani unapiga story na wenzio...
Mimi nakuja kwa mbaali...kulia nimeshika kuku na kushoto kuku...wanalia lia...
Unaniona.....unawaambia watoto...kampokeeni baba enu nyi watoto...lol
watoto wanakuja huku wanaimba 'baaba kaleta kuukuu...'majirani wanakuonea wivu.....
Hiyo sio romantic?????? Kumbe je????????lol
Sasa wewe Mbu umeamua kuturudisha nyuma.....
Mimi kama mwanamume wa Kitanzania na Mwafrika origino (tena dume la mbegu), kama hayo mahaba hayahusiani na sex au hayatanisaida kupata sex nafanya ya nini???
Haki ya nani sina sababu ya kuyafanya kama mwisho wa siku naondoka patupu?? May be ninazeeka vibaya!!!
Dah! mkuu The Boss naomba nikutangaze rasmi kuwa starring wa hii thread.
Yaani huu mfano hai kabisa tena vere romantic llakini still bht ,gaijin na mj1 watabisha.
Sasa wewe Mbu umeamua kuturudisha nyuma.....
Mimi kama mwanamume wa Kitanzania na Mwafrika origino (tena dume la mbegu), kama hayo mahaba hayahusiani na sex au hayatanisaida kupata sex nafanya ya nini???
Haki ya nani sina sababu ya kuyafanya kama mwisho wa siku naondoka patupu?? May be ninazeeka vibaya!!!
Kwa uchokozi sikuwezi,
Unataka wazee wazima tuanze kuuza data...
Ila kwa kweli binti kama hana kiabu anakufanya upoteze mzuka...Na yule mwenye aibu aibu na haiba ya kiwizi wizi (sorry, simaanishi kibaka au jambazi!!), anayekuangalia kwa kuku-avoid kama vile anaungama dhambi zake kwa Padri anaweza kusababisha mauji ya kutokukusudia,
Turudi kwenye mada......Hadi sasa tujipe matumani kwamba kwa romance na sisi tupo au tumekuwa tukivumiliwa tu???
waiiii gunia la mkaa? nipishe mie....hata ukiongeza na manumbu sitaki, bado sijashtuka.
....ohoooo,....sasa wewe ndio umeharibu kabisa, au unatania?
usiponunua wewe hilo gunia la mkaa atanunuliwa na nani?
tusichanganye wajibu na majukumu yako kama mume, na mahaba.
...no wonder wengine ati baada ya kuachana na wake zao wanasitisha hata matumizi kwa watoto wao.
...ni ujinga wa 'mwafrika'
...spot on, utapewa majina yote ya maudhi, ikiwamo umelishwa kipapai, ....na wanawake wasiojua 'kupendwa' hufikia hata
kujitapa mbele ya wajinga wenzake ati "nimemuweka kiganjani, hafurukuti!"...
dah! Mkuu the boss naomba nikutangaze rasmi kuwa starring wa hii thread.
Yaani huu mfano hai kabisa tena vere romantic llakini still bht ,gaijin na mj1 watabisha.
Nadhani ianze kwa kunisalimia mimi tu, hiyo itakuwa romance tosha kwa leo.hahahaha umenikumbusha mbali kweli...enzi hizo na chai ya asubuhi......hii thread cjui niianzie wapi mackini!