PreGE2025 Emmanuel Nchimbi: Msiwalazimishe CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Emmanuel Nchimbi amesema hakuna mtu anayeweza kuzuia Uchaguzi Mkuu bila kujali nafasi yake, na kuongeza kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kina haki ya kutoshiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa kuwa suala hilo ni hiyari kwao na hakuna haja ya kuwalazimisha kushiriki.

Amesema hayo wakati akizungumza katika Mkutano wa Jukwaa la Wahariri, leo Aprili 4, 2025.

====

Maoni ya wadau

Yaani mpaka hapo CCM wana-prove kuwa wao ndio Tume ya Uchaguzi na wanaweza amua chochote kwenye uchaguzi maana wanajibu hoja zisizowahusu wakati wao wenyewe wanashiriki uchaguzi kama vyama vingine.

Huu ni ushahidi tosha kuwa hakuna Tume Huru ya Uchaguzi na kinachoenda kufanyika ni Uchafuzi na sio Uchaguzi.
===

Ukimsikia mtu yeyote anasema CHADEMA wamesusia Uchaguzi wa mwaka huu 2025, kaa mbali nae na muogope kama ukoma.

Ni wapi CHADEMA wametoa kauli ya kususia uchaguzi? Tusiwawekee CHADEMA maneno ambayo hawajayasema.
 
Kwa hiyo hao wahariri kumbe wameenda kupokea tu maagizo huko Songea kuhusu no reform, no election! Kweli njaa siyo poa hata kidogo.
Yeye ndio kaandaa huo mkutano wa waandishi wa habari. Toka lini waandishi wa habari wakafanyia mkutano wao Songea? Hayo anayoongea ndio ajenda ya hicho kikao cha hao waandishi wa habari.
Paskali Mayalla
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Emmanuel Nchimbi amesema hakuna mtu anayeweza kuzuia Uchaguzi Mkuu bila kujali nafasi yake, na kuongeza kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kina haki ya kutoshiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa kuwa suala hilo ni hiyari kwao na hakuna haja ya kuwalazimisha kushiriki.

Amesema hayo wakati akizungumza katika Mkutano wa Jukwaa la Wahariri, leo Aprili 4, 2025.
Ni sahihi.CHADEMA ndiyo kitu gani?Wasuse tu hawajajiandaa na uchaguzi
 
Ngojeni muone hiyo petition ambayo inakaribia saini milioni 20 ndio mtajua sasa Watanzania wako serious.
Upuuzi huo Haidan khenani anataka uchaguzi sugu anataka uchaguzi hizo saini hata umoja wa wapiga ngoma wana saini!
 
Back
Top Bottom