Katika miaka ya karibuni tumeshuhudia jambo moja kubwa likijidhihirisha wazi: Nguvu ya CCM haibebwi kwenye mabasi, inabebwa kwenye mioyo ya watu.
Watu hawalazimishwi, hawachukuliwi kwa nguv,wanajitokeza wenyewe, kwa hiari, kwa imani, na kwa uzalendo.
CCM imeendelea kusimama imara kwa sababu...