Emmanuel John Nchimbi (born 24 December 1971) is a Tanzanian CCM politician and was a Member of Parliament for Songea Town constituency from 2010 to 2015. Currently, he is Chama Cha Mapinduzi General Secretary. He was the Minister of Home Affairs.
Hello!
Kama kawaida wapinzani uchwara hata hawajui wanataka nini. Mwezi mmoja tu nyuma kuna maneno aliyaongea Ex vice president Emmanuel Nchimbi wakaanza kumchukia. Baadaye kidogo wakasikia amejiuzulu.
Nchimbi kafanya usaliti mkubwa kwa Taifa, kosa lake ni la uhaini.
Yuko hai ila hatapewa...
Well , taarifa za Dr. Emmanuel Nchimbi (PhD) kuhusukujiuzulu zilianza chinichini hadi Gazeti moja likapigwa ban , mwisho wa siku ni kweli Daktari Nchimbi akalazimishwa kuachia Ofisi - Ni taarifa za Upotoshaji zilizokuwa kweli
Kifo cha JPM kilianza kama drama na upotoshaji, baadae ni kweli JPM...
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado, ametoa wito kwa familia ya Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Emmanuel Nchimbi kujitokeza hadharani na kuwahahakishia Watanzania kuwa yuko salama.
Ado ametoa wito huo Septemba 10, 2026 wakati akizungumza katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya...
Leo Zanibar kabla y jua kuelekea Magharibi kutakuwepo na ibada ya mazishi ya Mume wa Rais.
Viongozi wakuu wastaafu na waandamizi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano na mapinduzi ya Zanzibar watafika zanzibar.
Uvumi wa kutoonekana kwa Makamu wa Rais aliyejiuzulu
Utafutwa?
Wanabodi
Kama kawaida yangu, nikisikia kitu, kama kitu hicho kina maslahi kwa taifa, huwa naki share.
Tangu Makamu Rais Mstaafu, Balozi Dr. Emmanuel Nchimbi aandike barua ya kustaafu kwa shinikizo, hakuwahi kuonekana tena hadharani.
The Chrological of Events
Baada ya kuandika barua ile ya...
Ni Tlaatlaah
Humwaambii kitu kuhusu Nchimbi.
Tangu Dr Emmanuel Nchimbi aliwe kichwa na wenzake, Tlaatlaah kapoa kwelikweli, hofu na woga umemkamata. Hajui hatima yake. Na labda pengine hata yeye keshatekwa, hajulikani yuko kwenye "house arrest" ipi..
Wamebaki Chawa Team Samia wenye roho...
https://youtu.be/j3sXSrK1IgY?si=ciaUzrI93iD8PAfG
Kwa mujibu wa Evarist Chahali, mfanyakazi wa zamani wa TISS aliyeko uhamishoni Uingereza, kwa taarifa zilizothibitishwa ni kuwa Vice President Dr Emmanuel Nchimbi aliye wekwa kwenye kizuizi cha ndani (House Arrest) Yuko mahututi..
Inasemekana...
DAR ES SALAAM, TANZANIA— Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uwezekano wa Tanzania kupata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2029/2030.
Akizungumza katika mkutano uliowashirikisha...
Wakuu,
Watanzania tulipokea barua ya Nchimbi kujiuzulu kupitia mitandao ya kijamii, hakutoa Press au kusikia akihojiwa sehemu, na baadaye Rais Samia akasema amepokea barua yake ya kujiuzulu, kamati ya CCM ikasema imemvua uanachama na kwamba hawamtambui tena na Makamu wa Rais mteule akatajwa...
Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Maganya amesema jumuiya hiyo inaunga mkono Dkt. Emmanuel Nchimbi kuvuliwa uanachama.
Ameyasema hayo akiwa Misungwi, Mwanza leo Agosti 27, wakati wa ufunguzi wa sherehe za wiki ya wazazi kitaifa.
Soma Pia: Dkt...
Kuna watu Wanahisi kwamba Samia Hassan au CCM wanaweza kumuondolea Ulinnzi Emmanuel Nchimbi.
Hawana ubavu huo kwani analimdwa na Katiba.
Sio yeye tu anapata ulinzi, bali yeye na watu wake wa karibu.
Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, Makamu wa Rais akistaafu kuacha wadhifa, anaendelea kupata...
I. Kupanda Chati kwa Nchimbi
Kupanda kwa Dr. Emmanuel John Nchimbi hadi kufikia nafasi ya Makamu wa Rais kuliashiria kilele cha safari ndefu ya kisiasa ndani ya mfumo na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Yeye hakuwa mgeni wala mtu wa nje aliyekuwa anapambana na mfumo; alikuwa kada mzoefu...
Wanabodi,
Kiukweli kitendo cha VP Bal Dr. Emmanuel Nchimbi kufutwa uanachama CCM, kimenipiga shock na kunikata usingizi, ukijumlisha na kujiuzulu, this is double tragedy, sijui kama kuna mtu yeyote amempongeza kwa uamuzi wake huu wa kujiuzulu, ambao mimi nauita ni uamuzi wa kishujaa, ila hili...
Mtangazaji wa Radio 47 Kenya, Captain Emmanuel Mwashumbe, ameibua maswali kuhusiana na uamuzi wa Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, kutangaza kujiuzulu na kustaafu siasa kuanzia Septemba 4, 2026.
Akizungumza kwenye kipindi chake, Captain Mwashumbe ameeleza kushangazwa na hatua...
2022: Spika wa bunge Job Ndugai ajiuzulu, Samia aridhia.
2023: Katibu Mkuu CCM Daniel Chongolo ajiuzulu, Samia aridhia.
2024: Makamu Mkiti wa chama cha Mapinduzi Kinana ajiuzulu, Samia aridhia.
2025: Makamu wa Rais Philip Mpango ajiuzulu, Samia aridhia.
2025: Balozi Polepole aliyekuwa...
Mheshimiwa Rais Samia aridhia Nchimbi kujiuzuru Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 25 Agosti, 2026, amepokea barua ya ombi la kujiuzulu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
……ni [mpaka sasa] kutokutamka kuunga mkono mauaji ya Oktoba 29.
Kama keshatoa kauli kuunga mkono, basi nasimama kusahihishwa.
Kitendo cha yeye kutokusema chochote kuunga mkono mauaji hayo, labda ni dalili kwamba hakukubaliana nayo.
Lakini pia, kama hakukubaliana na hayo mauaji, kwa nini...
Humu Kuna watu wanaofanya kazi ofisi ya makamu wa Rais Dr. Emmanuel nchimbi
wiki iliyopita mpishi wa makamu wa Rais alifariki dunia ghafla km alivyokuwa kwa lukuvi
je Kuna mwenye kujua chanzo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.