emmanuel nchimbi

Emmanuel John Nchimbi (born 24 December 1971) is a Tanzanian CCM politician and was a Member of Parliament for Songea Town constituency from 2010 to 2015. Currently, he is Chama Cha Mapinduzi General Secretary. He was the Minister of Home Affairs.

View More On Wikipedia.org
  1. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Acheni taharuki , Emmanuel Nchimbi yu hai, mnataka aongee hadharani kama nani na kwa manufaa ya nani?

    Hello! Kama kawaida wapinzani uchwara hata hawajui wanataka nini. Mwezi mmoja tu nyuma kuna maneno aliyaongea Ex vice president Emmanuel Nchimbi wakaanza kumchukia. Baadaye kidogo wakasikia amejiuzulu. Nchimbi kafanya usaliti mkubwa kwa Taifa, kosa lake ni la uhaini. Yuko hai ila hatapewa...
  2. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Wakuu Tusipuuze ishu ya Dr. Emmanuel Nchimbi na taarifa zinazoitwa za Upotoshaji, mambo huwaga hivi hivi …..

    Well , taarifa za Dr. Emmanuel Nchimbi (PhD) kuhusukujiuzulu zilianza chinichini hadi Gazeti moja likapigwa ban , mwisho wa siku ni kweli Daktari Nchimbi akalazimishwa kuachia Ofisi - Ni taarifa za Upotoshaji zilizokuwa kweli Kifo cha JPM kilianza kama drama na upotoshaji, baadae ni kweli JPM...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: Yuko wapi aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi?

    Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado, ametoa wito kwa familia ya Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Emmanuel Nchimbi kujitokeza hadharani na kuwahahakishia Watanzania kuwa yuko salama. Ado ametoa wito huo Septemba 10, 2026 wakati akizungumza katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya...
  4. Ruwamangi

    JamiiForums Tanzania Emmanuel Nchimbi kushiriki maziko ya mume wa rais zanzabar kabla ya swala ya Magharibi?

    Leo Zanibar kabla y jua kuelekea Magharibi kutakuwepo na ibada ya mazishi ya Mume wa Rais. Viongozi wakuu wastaafu na waandamizi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano na mapinduzi ya Zanzibar watafika zanzibar. Uvumi wa kutoonekana kwa Makamu wa Rais aliyejiuzulu Utafutwa?
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa M/Rais Mstaafu Bal Dr. Nchimbi Yuko Salama Kwake. Ni Yeye Mwenyewe Ameamua Kutulia Kimya, Hashikiliwi, Hajazuiliwa!"

    Wanabodi Kama kawaida yangu, nikisikia kitu, kama kitu hicho kina maslahi kwa taifa, huwa naki share. Tangu Makamu Rais Mstaafu, Balozi Dr. Emmanuel Nchimbi aandike barua ya kustaafu kwa shinikizo, hakuwahi kuonekana tena hadharani. The Chrological of Events Baada ya kuandika barua ile ya...
  6. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Huyu Chawa alikuwa ni Team Dr Emmanuel Nchimbi. Kapigwa na kitu kizito mpaka haamini!

    Ni Tlaatlaah Humwaambii kitu kuhusu Nchimbi. Tangu Dr Emmanuel Nchimbi aliwe kichwa na wenzake, Tlaatlaah kapoa kwelikweli, hofu na woga umemkamata. Hajui hatima yake. Na labda pengine hata yeye keshatekwa, hajulikani yuko kwenye "house arrest" ipi.. Wamebaki Chawa Team Samia wenye roho...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali (JasusiTV): Dr Emmanuel Nchimbi Yuko mahututi; Taarifa kamili hii hapa

    https://youtu.be/j3sXSrK1IgY?si=ciaUzrI93iD8PAfG Kwa mujibu wa Evarist Chahali, mfanyakazi wa zamani wa TISS aliyeko uhamishoni Uingereza, kwa taarifa zilizothibitishwa ni kuwa Vice President Dr Emmanuel Nchimbi aliye wekwa kwenye kizuizi cha ndani (House Arrest) Yuko mahututi.. Inasemekana...
  8. gstar

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Akubali kukwama katiba mpya kabla ya 2030, asema Nchimbi hakuwa na "uchawa"

    DAR ES SALAAM, TANZANIA— Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uwezekano wa Tanzania kupata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2029/2030. Akizungumza katika mkutano uliowashirikisha...
  9. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Where is Nchimbi: Baada ya Nchimbi kujiuzulu na kufukuzwa CCM, je, yupo wapi?

    Wakuu, Watanzania tulipokea barua ya Nchimbi kujiuzulu kupitia mitandao ya kijamii, hakutoa Press au kusikia akihojiwa sehemu, na baadaye Rais Samia akasema amepokea barua yake ya kujiuzulu, kamati ya CCM ikasema imemvua uanachama na kwamba hawamtambui tena na Makamu wa Rais mteule akatajwa...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Fadhili Maganya: Nyoka amepigwa kichwani ili afe, Tunaunga mkono kutimuliwa kwake

    Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Maganya amesema jumuiya hiyo inaunga mkono Dkt. Emmanuel Nchimbi kuvuliwa uanachama. Ameyasema hayo akiwa Misungwi, Mwanza leo Agosti 27, wakati wa ufunguzi wa sherehe za wiki ya wazazi kitaifa. Soma Pia: Dkt...
  11. figganigga

    JamiiForums Tanzania Ulizi kwa Emmanuel Nchimbi si Matakwa ya Samia wala CCM bali Katiba

    Kuna watu Wanahisi kwamba Samia Hassan au CCM wanaweza kumuondolea Ulinnzi Emmanuel Nchimbi. Hawana ubavu huo kwani analimdwa na Katiba. Sio yeye tu anapata ulinzi, bali yeye na watu wake wa karibu. Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, Makamu wa Rais akistaafu kuacha wadhifa, anaendelea kupata...
  12. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Anguko la Dr. Emmanuel Nchimbi na Somo la "Trojan Horse": Alikosea wapi Kisiasa?

    I. Kupanda Chati kwa Nchimbi Kupanda kwa Dr. Emmanuel John Nchimbi hadi kufikia nafasi ya Makamu wa Rais kuliashiria kilele cha safari ndefu ya kisiasa ndani ya mfumo na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Yeye hakuwa mgeni wala mtu wa nje aliyekuwa anapambana na mfumo; alikuwa kada mzoefu...
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Pongezi Dr. Nchimbi Kwa Uamuzi Wako Kufuatia Ushauri Wangu Huu, Kufutwa CCM, Hakutafuta Mazuri Yako!, YEYE Yupo, Atasimama na Wewe!. Ubarikiwe Sana!

    Wanabodi, Kiukweli kitendo cha VP Bal Dr. Emmanuel Nchimbi kufutwa uanachama CCM, kimenipiga shock na kunikata usingizi, ukijumlisha na kujiuzulu, this is double tragedy, sijui kama kuna mtu yeyote amempongeza kwa uamuzi wake huu wa kujiuzulu, ambao mimi nauita ni uamuzi wa kishujaa, ila hili...
  14. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kujiuzulu Kwa Makamu wa Rais Dr. Emmanuel Nchimbi

    https://youtu.be/gxG_4KDoO5M?si=d3MdRYaigZxG9xKH
  15. R

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji radio 47 Kenya: Je, Makamu wa Rais wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, alisukumwa kujiuzulu baada ya kuwataka Watanzania kudai Katiba mpya?

    Mtangazaji wa Radio 47 Kenya, Captain Emmanuel Mwashumbe, ameibua maswali kuhusiana na uamuzi wa Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, kutangaza kujiuzulu na kustaafu siasa kuanzia Septemba 4, 2026. Akizungumza kwenye kipindi chake, Captain Mwashumbe ameeleza kushangazwa na hatua...
  16. Q

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajiuzulu? Philip Mpango, Kinana, Job Ndugai, Emmanuel Nchimbi

    2022: Spika wa bunge Job Ndugai ajiuzulu, Samia aridhia. 2023: Katibu Mkuu CCM Daniel Chongolo ajiuzulu, Samia aridhia. 2024: Makamu Mkiti wa chama cha Mapinduzi Kinana ajiuzulu, Samia aridhia. 2025: Makamu wa Rais Philip Mpango ajiuzulu, Samia aridhia. 2025: Balozi Polepole aliyekuwa...
  17. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Emmanuel Nchimbi: Mahojiano na Jambo FM

    https://youtu.be/HbPhXOsTTJI?si=hS_Hj3UZBVvvtJij
  18. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aridhia Dkt. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania

    Mheshimiwa Rais Samia aridhia Nchimbi kujiuzuru Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 25 Agosti, 2026, amepokea barua ya ombi la kujiuzulu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  19. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Jambo pekee ninaloweza kumpongeza Emmanuel Nchimbi.

    ……ni [mpaka sasa] kutokutamka kuunga mkono mauaji ya Oktoba 29. Kama keshatoa kauli kuunga mkono, basi nasimama kusahihishwa. Kitendo cha yeye kutokusema chochote kuunga mkono mauaji hayo, labda ni dalili kwamba hakukubaliana nayo. Lakini pia, kama hakukubaliana na hayo mauaji, kwa nini...
  20. Khanji kapoor

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo Cha kifo Cha mpishi wa Emmanuel nchimbi wiki iliyopita?

    Humu Kuna watu wanaofanya kazi ofisi ya makamu wa Rais Dr. Emmanuel nchimbi wiki iliyopita mpishi wa makamu wa Rais alifariki dunia ghafla km alivyokuwa kwa lukuvi je Kuna mwenye kujua chanzo?
Back
Top Bottom