emmanuel nchimbi

Emmanuel John Nchimbi (born 24 December 1971) is a Tanzanian CCM politician and was a Member of Parliament for Songea Town constituency from 2010 to 2015. Currently, he is Chama Cha Mapinduzi General Secretary. He was the Minister of Home Affairs.

View More On Wikipedia.org
  1. gstar

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Akubali kukwama katiba mpya kabla ya 2030, asema Nchimbi hakuwa na "uchawa"

    DAR ES SALAAM, TANZANIA— Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uwezekano wa Tanzania kupata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2029/2030. Akizungumza katika mkutano uliowashirikisha...
  2. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Where is Nchimbi: Baada ya Nchimbi kujiuzulu na kufukuzwa CCM, je, yupo wapi?

    Wakuu, Watanzania tulipokea barua ya Nchimbi kujiuzulu kupitia mitandao ya kijamii, hakutoa Press au kusikia akihojiwa sehemu, na baadaye Rais Samia akasema amepokea barua yake ya kujiuzulu, kamati ya CCM ikasema imemvua uanachama na kwamba hawamtambui tena na Makamu wa Rais mteule akatajwa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Fadhili Maganya: Nyoka amepigwa kichwani ili afe, Tunaunga mkono kutimuliwa kwake

    Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Maganya amesema jumuiya hiyo inaunga mkono Dkt. Emmanuel Nchimbi kuvuliwa uanachama. Ameyasema hayo akiwa Misungwi, Mwanza leo Agosti 27, wakati wa ufunguzi wa sherehe za wiki ya wazazi kitaifa. Soma Pia: Dkt...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Ulizi kwa Emmanuel Nchimbi si Matakwa ya Samia wala CCM bali Katiba

    Kuna watu Wanahisi kwamba Samia Hassan au CCM wanaweza kumuondolea Ulinnzi Emmanuel Nchimbi. Hawana ubavu huo kwani analimdwa na Katiba. Sio yeye tu anapata ulinzi, bali yeye na watu wake wa karibu. Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, Makamu wa Rais akistaafu kuacha wadhifa, anaendelea kupata...
  5. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Anguko la Dr. Emmanuel Nchimbi na Somo la "Trojan Horse": Alikosea wapi Kisiasa?

    I. Kupanda Chati kwa Nchimbi Kupanda kwa Dr. Emmanuel John Nchimbi hadi kufikia nafasi ya Makamu wa Rais kuliashiria kilele cha safari ndefu ya kisiasa ndani ya mfumo na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Yeye hakuwa mgeni wala mtu wa nje aliyekuwa anapambana na mfumo; alikuwa kada mzoefu...
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Pongezi Dr. Nchimbi Kwa Uamuzi Wako Kufuatia Ushauri Wangu Huu, Kufutwa CCM, Hakutafuta Mazuri Yako!, YEYE Yupo, Atasimama na Wewe!. Ubarikiwe Sana!

    Wanabodi, Kiukweli kitendo cha VP Bal Dr. Emmanuel Nchimbi kufutwa uanachama CCM, kimenipiga shock na kunikata usingizi, ukijumlisha na kujiuzulu, this is double tragedy, sijui kama kuna mtu yeyote amempongeza kwa uamuzi wake huu wa kujiuzulu, ambao mimi nauita ni uamuzi wa kishujaa, ila hili...
  7. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kujiuzulu Kwa Makamu wa Rais Dr. Emmanuel Nchimbi

    https://youtu.be/gxG_4KDoO5M?si=d3MdRYaigZxG9xKH
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji radio 47 Kenya: Je, Makamu wa Rais wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, alisukumwa kujiuzulu baada ya kuwataka Watanzania kudai Katiba mpya?

    Mtangazaji wa Radio 47 Kenya, Captain Emmanuel Mwashumbe, ameibua maswali kuhusiana na uamuzi wa Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, kutangaza kujiuzulu na kustaafu siasa kuanzia Septemba 4, 2026. Akizungumza kwenye kipindi chake, Captain Mwashumbe ameeleza kushangazwa na hatua...
  9. Q

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajiuzulu? Philip Mpango, Kinana, Job Ndugai, Emmanuel Nchimbi

    2022: Spika wa bunge Job Ndugai ajiuzulu, Samia aridhia. 2023: Katibu Mkuu CCM Daniel Chongolo ajiuzulu, Samia aridhia. 2024: Makamu Mkiti wa chama cha Mapinduzi Kinana ajiuzulu, Samia aridhia. 2025: Makamu wa Rais Philip Mpango ajiuzulu, Samia aridhia. 2025: Balozi Polepole aliyekuwa...
  10. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Emmanuel Nchimbi: Mahojiano na Jambo FM

    https://youtu.be/HbPhXOsTTJI?si=hS_Hj3UZBVvvtJij
  11. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aridhia Dkt. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania

    Mheshimiwa Rais Samia aridhia Nchimbi kujiuzuru Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 25 Agosti, 2026, amepokea barua ya ombi la kujiuzulu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  12. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Jambo pekee ninaloweza kumpongeza Emmanuel Nchimbi.

    ……ni [mpaka sasa] kutokutamka kuunga mkono mauaji ya Oktoba 29. Kama keshatoa kauli kuunga mkono, basi nasimama kusahihishwa. Kitendo cha yeye kutokusema chochote kuunga mkono mauaji hayo, labda ni dalili kwamba hakukubaliana nayo. Lakini pia, kama hakukubaliana na hayo mauaji, kwa nini...
  13. Khanji kapoor

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo Cha kifo Cha mpishi wa Emmanuel nchimbi wiki iliyopita?

    Humu Kuna watu wanaofanya kazi ofisi ya makamu wa Rais Dr. Emmanuel nchimbi wiki iliyopita mpishi wa makamu wa Rais alifariki dunia ghafla km alivyokuwa kwa lukuvi je Kuna mwenye kujua chanzo?
  14. W

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt Emmanuel Nchimbi ajiuzulu

  15. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Bakari Kazungu anadaiwa kutekwa na ‘watu wasiojulikana’ na kufanyiwa vitendo viovu. NOTE: Video imeondolewa ili kuondoa sehemu sensitive na kulinda utu wake Soma machache aliyowahi sema: 1) CDE Bakari Kazungu: CCM ukisema ukweli unaonekana wa ajabu 2) Bakari Kazungu: Acheni kuwasingizia Heche...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli kwa nafsi zetu. Ni nani mwingine CCM zaidi ya Dkt. Nchimbi anayeweza kusema jambo na WaTanzania wakamsikiliza

    Nilisema nimejiweka tayari kuzibua masikio yangu yote kumsikiliza Dr Nchimbi kama analo jipya la kuwaambia waTanzania juu ya ubovu wa chama chake. Hii ni bila kuathiri uamzi wangu niliokwisha hitimisha kwamba "Kupona kwa Tanzania, hakuna budi CCM yenyewe ife", kwanza. Nimemsikia Dr Nchimbi...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Nchimbi asipuuzwe, aungwe mkono

    Nadhani kwa situation iliyopo sasa katika Nchi, ni bora zaidi tufuate wosia wa Nchimbi badala ya kumshambulia au kumpuuza. Wengine wanasema, huyu asituchanganye kwa sababu naye yupo ndani ya mfumo, lakini, Je, shetani akikwambia kuwa, usipite njia hiyo, kuna hatari, na pengine kwa umbali na...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Nafungua Masikio Kumsikiliza Emmanuel Nchimbi, na Wengine Wooote wa Aina Hiyo Waliopo Huko

    "Ndugu" Emanuel Nchimbi kwa sasa hivi namchukulia kuwa ni mfungwa kama tulivyo wengine wote, waTanzania tusiofurahishwa na mwenendo na mwelekeo wa taifa letu ulivyo kwa sasa. Sina shaka yoyote, kwamba wapo wengine wengi huko huko aliko Nchoimbi ambao hawajapata ujasiri wa kusema, kama...
  19. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Majibu yangu kwa Dkt. Emmanuel Nchimbi baada ya kunitaja katika hotuba yake akiongea na Asasi za Kiraia za Haki za Binadamu

    Kwako Dr Emmanuel Nchimbi; Nimechukua muda kutafakari uliyoyasema nchimbie lakini sasa acha nikujibu: Leo umeonyesha uungwana kwa maneno maana umesema kuwa uanaharakati si uhasama - na ulinitaja kabisa pamoja na kwamba ninajua kuwa jina langu akilisikia kimama chenu hukasirika ile mbaya - so...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Abdul Nondo: Kauli ya Nchimbi kuhusu Katiba Mpya ni hadaa za Serikali kwa Umma

    Abdul nondo anasema..... Ngome ya vijana ACT wazalendo tumesikia kauli ya Makamu wa Rais Dkt.Emmanuel John Nchimbi aliyoitoa tarehe 24/Julai/2026 kuhusu hoja ya KATIBA MPYA. Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel John Nchimbi anasema serikali inataka KATIBA MPYA, Rais Samia anataka KATIBA MPYA na CCM...
Back
Top Bottom